Mwananchi Mtanzania
Member
- Jul 3, 2012
- 92
- 13
Any way, kuna mambo mengine ni ya kisheria kuliko siasa,
Na mengine pia ni practical reality.
Bahati mbaya, katika sheria kuna tofauti kati ya NCHI na DOLA (Country and State)
Ni vizuri kabla ya kutoa hoja, ukajua yafuatayo
DOLA na NCHI katika Sheria ni vitu sawa?
DOLA ni nini Katika Sheria za Kimataifa?
Ili kuwe na DOLA, vitu gani vinahitajika?
Je, Kati ya Tanzania na Zanzibar, Ipi ni DOLA?
Kwa nini Zanzibar sio Member wa UNO?
Wakati unafikiria maswali hayo, jiulize!
1. Kwa nini Abkazia na Usetia, baada ya kujitangazia Uhuru kutoka kwa Georgia, mpaka leo hazijawa DOLA?
2. Kwa nini Western Polisario ina mipaka na watu, lakini sio DOLA?
3. Kwa nini ISRAEL ni DOLA lakini mipaka yake bado iko disputed, but hali ni tofauti kwa wenzao wa PALESTINE?
UTAPATA JIBU KWAMBA, yanahitajika mambo zaidi ili NCHI iwe DOLA, na sio HIZI SIASA ZETU ZU ZA KILA SIKU.
Na mengine pia ni practical reality.
Bahati mbaya, katika sheria kuna tofauti kati ya NCHI na DOLA (Country and State)
Ni vizuri kabla ya kutoa hoja, ukajua yafuatayo
DOLA na NCHI katika Sheria ni vitu sawa?
DOLA ni nini Katika Sheria za Kimataifa?
Ili kuwe na DOLA, vitu gani vinahitajika?
Je, Kati ya Tanzania na Zanzibar, Ipi ni DOLA?
Kwa nini Zanzibar sio Member wa UNO?
Wakati unafikiria maswali hayo, jiulize!
1. Kwa nini Abkazia na Usetia, baada ya kujitangazia Uhuru kutoka kwa Georgia, mpaka leo hazijawa DOLA?
2. Kwa nini Western Polisario ina mipaka na watu, lakini sio DOLA?
3. Kwa nini ISRAEL ni DOLA lakini mipaka yake bado iko disputed, but hali ni tofauti kwa wenzao wa PALESTINE?
UTAPATA JIBU KWAMBA, yanahitajika mambo zaidi ili NCHI iwe DOLA, na sio HIZI SIASA ZETU ZU ZA KILA SIKU.