Tunaendekeza sana ufisadi nchi hii, watu watano? Na kila siku wanakuja na misamiati mipya, eti "kuangaliwa" afya. Madokta wa hapa hawana macho?
Mwenye pistol anipe nijiue. Tumechoka
Tunaendekeza sana ufisadi nchi hii, watu watano? Na kila siku wanakuja na misamiati mipya, eti "kuangaliwa" afya. Madokta wa hapa hawana macho?
aLLOWANCE ZA WATU WATANO KUMSINDIKIZA SPIKA iNDIA zinatosha kujenga maktaba ya shule ya secondari ya mapambano pale Sinza! Hawa watu alioandika kuwa Tanzania ni moja ya nchi kumi za africa zenye Good governance wanayajua haya?Mambo mengine jamani siyo tuu yanatia uchungu bali yanazaa uchungu!!Tunaendekeza sana ufisadi nchi hii, watu watano? Na kila siku wanakuja na misamiati mipya, eti "kuangaliwa" afya. Madokta wa hapa hawana macho?
Hii sikuipenda. JF itaonekana ni jukwaa la vichaa kwa sababu ya fundamentalists!
Ndugu yangu huyu ni binadamu.....ana ndugu jamaa na marafiki....unadhani wanajihisi vipi wakisoma andishi lako??? Kura ngapi utapoteza kwa kujenga chuki isiyo na maana?? .....TAfakari.....
Mimi siwalaumu hata kidogo kwani viongozi wetu hawajali kabisa maisha ya watu maskini.Maskini wa nchi hii wanakufa kwa kukosa huduma za afya alafu ukitokea mgomo wa madaktari huyo huyo spika anakuwa upande wa serikali sasa kwani akifa yeye sisi tusikitike.kumbuka jinsi alivyokuwa mstari wa mbele kuzima hoja zozote kuhusu kujadili mgomo wa madaktari bungeni.Jiulize kama yeye alikuwa hajui kuwa kuna watu wanakufa kutokana na mgomo ule.Jiulize alizima zile hoja kwa manufaa ya nani kama sio chama chake.Tafakari kiongozi wa aina hiyo kwake muhimu ni chama chake au mwananchi.
Angalia hata raisi wa nchi kila siku safari.Jiulize hizo hela za kugharamia safari zake zinatoka wapi wakati watumishi wa umma hawalipiwi haki zao kwa madai kuwa serikali haina hela lakini hela za kugharamia safari za raisi kila siku zipo.
Nchi hii ni ya ovyo sana.Maskini wa nchi hii umuhimu wake ni wakati wa uchaguzi tu na uchaguzi ukipita na utu wake ndio umepita.
Kuna watu wana roho mbaya hujawahi ona.
wanajua fika kuwa serikali hainuni vifaa vya kutosha katika hospitali zetu ingawa sisi wanatudanganya kuwa serikali imeboresha huduma za afya. Mungu akiwaumbua na kuwauguza wao hapo ndipo ukweli unapojidhihirisha maana wanakimbilia kutibiwa nje kwa madai wamepewa rufaa baada ya hospitali zetu kushindwa. Au magonjwa yao ni tofauti ya kwetu?? Shame
ANATAKIWA AUGUE MIEZI KAMA KUMI HIVI, AJUEALICHOKUWA ANATETEA ULIMBOKA. Simtakii nafuu kwa sasa mpaka ajifunze utu!!
Jamani ! yawezekana ni kuangalia afya tu, wakashanga anaweza kutembea na magonjwa aliyonayo!
mungu wa majeshi
Viongozi walio wagumu na watendayo kinyume na matakwa yako washindwe kwa jina la yesu.
Angalia bwana, wanashindwa na hawataki kufanya mazuri hapa, wakitegemea kuyapata nje kwa kutumia ukiburi walionao.
Ikiwezekana bwana fanya kama upendavyo kutuepusha nao kwa njia upendayo bwana.
Amen