Katibu wa Bunge Dr Kashilila amesema Afya ya mbunge wa Korogwe vijijini mh.Stephen Ngonyani ,maarufu kama Profesa Majimarefu inazidi kutengemaa na kuanzia sasa wakat wowote atarud nyumban,,,,Dr Kashilila amesema kwamba Maji marefu ameshapona na hivyo ataruhusiwa muda si mrefu.
Sosi:Nipashe
Sosi:Nipashe