Jamani nafahamu kwamba kongosho ni organ mahsusi katika kutengeneza 'insulin' ambayo hutumika ku'regulate sukari mwilini.Je mambo yepi hufanya hiki kiungo muhimu kuishi muda mrefu huku kikifanya kazi zake sawasawa....!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.