vicent tibaijuka
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 268
- 57
nafikiri mfano wako ni mfu! haulengi maana. nguo kulegea si kuvunja sheria. hajatembea huchi huyu. zamani watu walivaa nguo pana (pekosi, bellbotom), wakavaa zinabana (chupa), madada wanavaa minskate na mapaja yako nje hawajakamatwa. si mlegezo zamani ziliitwa mtepesho!! the old is gold!! mahakama lazima ifuate sheria si tu hakimu anaamua tu.Kwa hiyo kigezo ni kama zinaruhisiwa au hazuhusiwi kuuzwa? Kama ndio kigezo, basi kwa vile ni ruksa kuuza chupi basi watu wawe wanarhusiwa kuingia mahakama wakiwa wamevaa vyupi tuu?
mtu anaiba maelfu hafungwi mwizi wa kuku anakula miaka mingi tu haki ipo?
chenge anagonga nakuua analipa 7lki, daladala inagonga dreva miaka mingi jela haki wapi?
na mifano mingi inayoonyesha jinsi tanzania kusivyo na usawa hadi katika sheria.
oinabidi tuanze pia kuzipigia kelele hata mahakama.