Mkazi mmoja wa mkoa uliopo katika kanda ya ziwa amehukumiwa kwenda jela miezi mitatu kwa kukataa kuhesabiwa katika zoezi la sensa linaloendelea nchini Tanzania.Mkazi huyo alikataa kujibu maswali ya dodoso la sensa ya watu na makazi kwa kuwa hakuna kipengele kinachouliza Dini!Mbele ya Hakimu wa mahakama,mkazi huyo alikiri kosa hilo,hakimu alimhukumu kifungo cha miezi 3!
SOURCE:Matukio Radio Free Africa-(29/08/12)
SOURCE:Matukio Radio Free Africa-(29/08/12)