Bendera ya Bati
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 279
- 363
Yule yanki aliyetunga maigizo ya kivuli,utelezi,na sasa mkaguzi linaloendelea kuoneshwa na kituo cha televion cha ITV amefariki dunia.preliminary info.zinasema chanzo cha kifo cha kijana huyo ni ajari ya gari.Labda mwenye habari zaidi atujuze.