Afrika nzima hakuna vyuo vikuu vilivyopo ni sekondari tu.

Kula tano. Tuache ushabiki, mara ya mwisho kuona research ya wabongo kwenye Journal kama "Nature","Science" au nyingine yoyote ya caliber hiyo ilikuwa lini?

Wengine wanamaliza chuo bila hata kujua hizo journals ni nini ingawa zipo katika fields zao.

Na kama wasomi wetu ndio hao Dr. Kigwangwalla type (msomi Kigwangwalla) basi tushapigwa ngwala.

Naungana nanyi kwa kuelezea vigezo vinavyotumika katika ranking. Ila bado wasomi wetu ni bora, maana wanafit kwenye vyuo vilivyo bora dunianai na hata wapo wahadhiri kwenye hivyo vyuo ambao wamechimbuliwa na mifumo ya elimu ya Africa. Kuhusu machapisho, pia tuna watafiti wetu ambao wanachapisha kwenye majarida yenye high impact factor kama Nature, Science etc ila ni wachache. Pia nakubaliana tubadili mifumo ya PhD zetu zingine zipatikane kwa majarida (by papers) siyo kung'ang'ania za thesis/dessertation tu. Curriculum zetu pia ni bora kama za wenzetu na zinafanyiwa review mara kwa mara, labda changamoto iwepo kwenye ufundishaji, motivation na wanafunzi wenyewe kujishughulisha. Maana curriculum pekeyake si kigezo cha kutoa product nzuri. Nimefurahishwa na wana JF (na wadau wengine) kuwa sensitive kwenye hili.
 
Kula tano. Tuache ushabiki, mara ya mwisho kuona research ya wabongo kwenye Journal kama "Nature","Science" au nyingine yoyote ya caliber hiyo ilikuwa lini?

Wengine wanamaliza chuo bila hata kujua hizo journals ni nini ingawa zipo katika fields zao.

Na kama wasomi wetu ndio hao Dr. Kigwangwalla type (msomi Kigwangwalla) basi tushapigwa ngwala.


Hapo nimechoka.
 
Kula tano. Tuache ushabiki, mara ya mwisho kuona research ya wabongo kwenye Journal kama "Nature","Science" au nyingine yoyote ya caliber hiyo ilikuwa lini?

Wengine wanamaliza chuo bila hata kujua hizo journals ni nini ingawa zipo katika fields zao.

Na kama wasomi wetu ndio hao Dr. Kigwangwalla type (msomi Kigwangwalla) basi tushapigwa ngwala.
Ahaaaa ahaaaa l.o.l
 
wanaosema hakuna vyuo vikuu africa may be wametumia criteria ya malecturer kuwa wazungu tu. otherwise it makes no sense at ol
 
wanaosema hakuna vyuo vikuu africa may be wametumia criteria ya malecturer kuwa wazungu tu. otherwise it makes no sense at ol
product za udsm,mzumbeians na wenzao utawajua tu....bwahahahaha
.
 
uongo.. watu mbona tumemaliza bongo na kuajiriwa europe
wewe utakuwa box kera majuu kama NN....without the the wazungu the Africans would be far far poorer many trillions of money and voluntary aid comes from the west....the trouble is the so kold wasomi wa udsm na wenzao......
 
wewe utakuwa box kera majuu kama NN....without the the wazungu the Africans would be far far poorer many trillions of money and voluntary aid comes from the west....the trouble is the so kold wasomi wa udsm na wenzao......

Mchango wangu kwa uchumi wa bongo ni mkubwa kuliko wako na ukoo wako wote.
 
Naungana nanyi kwa kuelezea vigezo vinavyotumika katika ranking. Ila bado wasomi wetu ni bora, maana wanafit kwenye vyuo vilivyo bora dunianai na hata wapo wahadhiri kwenye hivyo vyuo ambao wamechimbuliwa na mifumo ya elimu ya Africa. Kuhusu machapisho, pia tuna watafiti wetu ambao wanachapisha kwenye majarida yenye high impact factor kama Nature, Science etc ila ni wachache. Pia nakubaliana tubadili mifumo ya PhD zetu zingine zipatikane kwa majarida (by papers) siyo kung'ang'ania za thesis/dessertation tu. Curriculum zetu pia ni bora kama za wenzetu na zinafanyiwa review mara kwa mara, labda changamoto iwepo kwenye ufundishaji, motivation na wanafunzi wenyewe kujishughulisha. Maana curriculum pekeyake si kigezo cha kutoa product nzuri. Nimefurahishwa na wana JF (na wadau wengine) kuwa sensitive kwenye hili.

Ukweli wasomi wa Tanzani (Africa sijaitembelea yote so sina haki ya kuisemea) tunamchango wetu katika matatizo ya bara letu tena kwa kiasi kikubwa sana kwani mara nyingi wengi wetu hukazana kusoma si kwa nia ya kuleta welfare za watanzania wenzetu bali ka wanasiasa wetu walivyo kuleta individual welfare. Kinachotokea ni kuwa wengi hujia align na ama wanasiasa katika ku access resources na kuwa exclude wengine na wengi wanaobaki huingia katika utamaduni mpya wa dunia ya wasomi wa nje na wandani kujoin effort katika kupata funds kwaajili ya tafiti zisizo na impact yeyote katika jamii zetu.

Lakini pia kuna namna ambavyo training ya wanataaluma inavyofanywa jinsi inavyochangia kuleta shida kwani hakuna mpango mahususi wa kuwa train hawa kila mmoja anajiokotezea scholarship na nyingi ya hizi haziendani na matatizo tuliyonayo. Tunahitaji watu wenye maono kwenye wizara zinazobeba dhamana za wasomi wetu pamoja na wakuu wa vyuo ambao wataacha siasa na kufanya kile wanachopaswa kufanya kwa faida ya taifa letu. Mimi kama mdau katika hii sector naelewa kwa dhati kabisa bila kubadilisha mfumo wa training na kukubali kuinvest kwenye vyuo vyetu vikuu basi tusitegemee miujiza. Hakuna nchi duniani iliyoendelea bila kuwa na vyuo vikuu imara. Kila mtu atakubali kuwa kila mara crisis yeyote inapotokea duniani watu huwa tafuta intelectuals kuona wana maoni gani na nini mpango wao katika kuleta suluhuu ya hiyo crisis. Sasa itakuwa ajabu kabisa kama hali ya uchumi wa bara la Africa uko hivi ulivyo alafu tukakataa kukubali kuwa vyuo vyetu vikuu by standards ni sawa na sekondari za dunia ya watu wanaojua nini maana ya elimu.

Swala la wsomi kuwa bora halitegemei training na vyuo huyo mtu alipotoka (Environmental factors) tu bali kuna genetical factors brain yake inakubali vipi kuwa trained katika mazingira muafaka. Wengi wa wanafunzi wetu ukiondoa miaka ya hivi karibuni ambapo criteria za kutoa GPA zimechakachuliwa ilikuwa ni kuwa ukiona mtu ana GPA kuanzia 3.5 huyo mtu ni trainable material anaweza kwenda kokote na kufanya vizuri.

I am not offended kama mmoja wa mdau katika hii sector lakini kwangu I would take this as a challenge and for sure contextually its indeed a reality vyuo vyetu havina hadhi ya kuitwa vyuo vikuu. Nijukumu la kina mwanataaluma kukubali ukweli huu nakufanya kwa kadri ya uwezo wetu kubadili hii hali kwani kwakuwa ni wanataaluma inamaana problems are always our opportunities to show ni jinsi gani tunauwezo wa kuleta solution kutokana na vyeo tunavyopewa. Ukiwa profesor ukashindwa ku profesy kwenye field yako uone aibu kuitumia hiyo rank lazima utakuwa umepanda pasipokufuata misingi inayokubalika na wewe ndiyo mwenye hilo jibu. Tusipokubali kuwa responsible basi tutavuna dharau maana kama profesor katika field yake hana tofauti na mtoto wa secondary kwenye reasoning then kwanini ukasirike kuwa vyuo vyetu vinahadhi sawa na sekondari? Hasira yako itakuwa na maana kama utaleta suluhisho la hayo matatizo uliyonayo.
 
Back
Top Bottom