Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
za jioni wakuu, poleni majukumu. Mda huu nina shida nahitaji ufafanuzi.
Hivi ni Afrika pekee inayokuwa na waasi? Shida iko wapi? AU ama UN hawawezi kuingilia?
Guinea Bissau shida!
Goodluck Jonathan anahaha na Boko Haram.
Joseph Kabila nae hana amani. Uganda nako shida. Mali nako wanaweka presha! Hv kuna shida gani Afrika? Kwan mataifa duniani hayajui kinachoendelea?
Hivi ni Afrika pekee inayokuwa na waasi? Shida iko wapi? AU ama UN hawawezi kuingilia?
Guinea Bissau shida!
Goodluck Jonathan anahaha na Boko Haram.
Joseph Kabila nae hana amani. Uganda nako shida. Mali nako wanaweka presha! Hv kuna shida gani Afrika? Kwan mataifa duniani hayajui kinachoendelea?