Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Hakuna kiongozi wa Afrika aliyeifahamu na kuifanyia mazoezi tafasri halisi ya DEMOKRASIA, kama yupo basi kiongozi huyo ameifanyia mazoezi kinadharia na hakuruhusu imugharimu, hivyo mbinu za kuidhorotesha ni siraha kwake! Nyakarungu 2012