eeeeh bwana ehh... First Lady wa Gambia aminia... no wonder husband ana-claim he can cure aids... Dont kno about brains lakini on principles of beauty alone... hand down she takes the crown....
Pole sana Only if you know the story behind her............. Huyu bibie ni Mmorrocco alimtoa mke mkubwa kwenye throne yake na akaolewa na Rais wa Gambia. Akafanywa 1st lady. Mke mkubwa akapewa talaka tena zile za chap chap za kiislamu. Haijapita muda Rais akaanza ku-cheat na yule yule mke mkubwa na inasemekana bibie Zeinab kakimbilia kwao Morrocco na Rais anataka kufunga ndoa tena na mtalaka wake wa mwanzo. Shame it is???
Huyu kila mtu anamjuaa......
Huyu kila mtu anamjuaa......
KENYA's
Lucy Kibaki-- Kenya
Jeannette Kagame - Rwanda!
Bw. Kiroboto sema basi...picha hio super!!!!!!
Ab-tichaz,nilikuwa nacount point,ila nimeamua kugawa kulingana na age,let start with watu wazima,mie nimempa point zote mama mandela kule,upande wa huu umri wa walio wengi,mie nasema mama kagame,maana ukimuona tu ,walahi kama umekamilika,hata ukiwa na umri kama huu wangu mie mwana wa msolopa basi denda hilo,pia nimekubali mambo ya mali akifatiwa na mama msanii(kikwete)