Africando

Kwa wale wapenzi wa salsa tukumbushane enzi za hawa jamaa.Niko sehemu napata moja moto moja baridi huku nikisindikizwa na kibao murua "aminata"
 
Jamaa ngoma zao zinatisha mnooo!! Mnanikumbusha wakati ule Radio One ikiwa Stereo kweli wadau!! Charles Hillary Mzee wa macharanga akijimix na Brother Zeno dah!!! nilijulia kucheza charanga miaka ile ya tisini ya kati!!!
 
dancing ya salsa ni uhondo mtupu!namkumbuka babu yangu tu!

Kweli na wachezaji wazuri wa Salsa, CHA CHA, merengue, rhumba etc ni wale old school... ila siku hizi kuna classes for those wishing to learn.Kama uko DSM basi tembelea na ujiandikishe 'Little Theatre".
 
Kweli na wachezaji wazuri wa Salsa, CHA CHA, merengue, rhumba etc ni wale old school... ila siku hizi kuna classes for those wishing to learn.Kama uko DSM basi tembelea na ujiandikishe 'Little Theatre".
nahisi wewe ni mnene unaweza steps?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom