Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
mwenye update atupe
Aa mi nimeboreka kichizi, nilikua nataka Mali ndio wapite, wapopo siwafagilii kabisa. Nilijua kibarua kingekua kigumu kwa Mali bila kapteni wao Diarra then half time Kanoute naye wakamtoa, halafu Ivory Coast walipangia full squad kinyume na wengi tulivyotarajia.
nasikitika huku niliko sioni kombe hilo ila tuu kufuatilia highlights kwenye ma bbc na cnn...ila kwa walichofanya ivory coast ndio mpira wenyewe...hamna kuachia uzi..kukaza tuu mpaka mwisho...jamani mie naona kabsaa kombe hili lisipobaki ghana nasema tena mtaja nikumbuka..lasogea pale kwa drogba na wenzie..
Aa mi nimeboreka kichizi, nilikua nataka Mali ndio wapite, wapopo siwafagilii kabisa. Nilijua kibarua kingekua kigumu kwa Mali bila kapteni wao Diarra then half time Kanoute naye wakamtoa, halafu Ivory Coast walipangia full squad kinyume na wengi tulivyotarajia.
Mtaalam,
kwa nini huoni huu uhondo ndugu yangu? download software inayoitwa sopcast katika hii website hebu www.myp2p.eu then nenda kwenye software halafu udownload hiyo software inayoitwa sopcast upate burdan
haika mbeee
Ratiba inayofuata ni kama hivi (time za UK):
Sunday, 03 February 2008
Ghana v Nigeria, Quarter Final, 17:00......GHANA ADVANCE 2 SEMI
Ivory Coast v Guinea, Quarter Final, 20:30...IVORY coast 2 SEMI
Monday, 04 February 2008
Egypt v Angola, Quarter Final, 17:00......EGYPT watasonga to semi
Tunisia v Cameroon, Quarter Final, 20:30...Etoo atafanya kweli hapa watasonga mbele
Thursday, 07 February 2008
Winner Q/F 1 v Winner Q/F 4, Semi-Final,
Winner Q/F 2 v Winner Q/F 3, Semi-Final,
Saturday, 09 February 2008
Loser SF1 v Loser SF2, 3rd and 4th Place Play-Offs,
Sunday, 10 February 2008
Winner SF1 v Winner SF2, Final,
Niutabiri wangu tu Ila hapa ndo tunawezakuona utamu wa mpira