Africa varsity ranking irks UDSM don

Huyo employer atakua mbabaishaji na hajui principles za recruitment. Yaani kama anataka graduate wa Law atabeba poorly cooked graduate wa Mzumbe na kumwacha well baked graduate wa UDSM just because of where they went to school? Nafikiri the best approach ni kumchukua mtu kwa kuangalia merits(papers + how he responds to the interview questions) na sio kubeba tu mtu eti kwa vile hajasoma UDSM, that is nonsensical!

na kwa nini umebase kwenye Law? so you are proving kwamba law pekee ndiyo super UDSM? lakini kumbuka hata rais wako alikiri kuwa wanasheria wetu hawajui kuandaa na/au kusoma na kuielewa mikataba. Na wanasheria wengi wa serikali ni UDSM product for your info.

Uozo ni uozo tu ndugu. Kukiri udhaifu ni ushujaa. UDSM needs a major shift.
 
na kwa nini umebase kwenye Law? so you are proving kwamba law pekee ndiyo super UDSM? lakini kumbuka hata rais wako alikiri kuwa wanasheria wetu hawajui kuandaa na/au kusoma na kuielewa mikataba. Na wanasheria wengi wa serikali ni UDSM product for your info.

Uozo ni uozo tu ndugu. Kukiri udhaifu ni ushujaa. UDSM needs a major shift.

Unamaanisha wanasheria wetu kama Dr Asha-rose Migiro wa UN product ya UDSM?, au Mkono & Advocates waliotokea UDSM ambao wanawakilisha na kushinda kesi mpaka ulaya na America? au IMMMA mabingwa wa sheria? au unazungumzia Majaji wote walioko Tanzania ambao hakuna hata mmoja aliyetokea Mzumbe na wote ni UDSM product? Au unamsema mwana UDSM mwingine mwakyembe? au una orodha ya wanasheria bora kutoka chuo ulichosoma wewe ukaishia form six?

Inferiority complex bana........!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Come on Akashube ndio huo usomi wako?Toa data yoyote Mkono&Advoacte ameshinda kesi gani Ulaya/Marekani?Hizi propaganda hazifai kabisa.
Law ya Tanzania sasa is a joke!Ni kuiibia Tanzania!

Naomba urejee Mkono na BOT scandal.IMMA na conflicts of Interests na Waziri Masha.
Nasubiri kesi ya Mkono aliyoshinda Ulaya!Tupe data.
 
Unamaanisha wanasheria wetu kama Dr Asha-rose Migiro wa UN product ya UDSM?, au Mkono & Advocates waliotokea UDSM ambao wanawakilisha na kushinda kesi mpaka ulaya na America? au IMMMA mabingwa wa sheria? au unazungumzia Majaji wote walioko Tanzania ambao hakuna hata mmoja aliyetokea Mzumbe na wote ni UDSM product? Au unamsema mwana UDSM mwingine mwakyembe? au una orodha ya wanasheria bora kutoka chuo ulichosoma wewe ukaishia form six?

Inferiority complex bana........!!!!!!!!!!!!!!!!!

Sasa jibu unalo unataka nini? hao wote wanaissue za kifisadi acha ujinga. ikiwa mtu yuko uchi mwambie akavae nguo na usimdanganye kuwa amevaa nguo. UDSM needs a shift, mtu yeyote mwenye akili timamu anakubaliana na hili.
Rose migiro is a political post, IMMA ya waziri masha, ndiyo walioandaa mikataba mingi ya kifisadi ya madini, Mkono advocates usiseme kwa taarifa yako ikiwa ulikuwa bado shule-unadessa mapepa UDSM, ndiye aliyesupervise uuzwaji wa NBC kwa not more that tsh 15bl
check ulivyo mpuuzi, kuna chuo cho chote kinachofundisha watu A-level - form six??? you are a pure bogus UDSM graduate.
 
Come on Akashube ndio huo usomi wako?Toa data yoyote Mkono&Advoacte ameshinda kesi gani Ulaya/Marekani?Hizi propaganda hazifai kabisa.
Law ya Tanzania sasa is a joke!Ni kuiibia Tanzania!

Naomba urejee Mkono na BOT scandal.IMMA na conflicts of Interests na Waziri Masha.
Nasubiri kesi ya Mkono aliyoshinda Ulaya!Tupe data.

mmakonde, thanks, I said, most udsm grads can't analyse issues. akashube is one of them. mkono ndiye aliyesimamia kuuzwa kwa NBC for not more that 15bn shillings. Akashube anamuona kuwa hero.
 
Sasa jibu unalo unataka nini? hao wote wanaissue za kifisadi acha ujinga. ikiwa mtu yuko uchi mwambie akavae nguo na usimdanganye kuwa amevaa nguo. UDSM needs a shift, mtu yeyote mwenye akili timamu anakubaliana na hili.
Rose migiro is a political post, IMMA ya waziri masha, ndiyo walioandaa mikataba mingi ya kifisadi ya madini, Mkono advocates usiseme kwa taarifa yako ikiwa ulikuwa bado shule-unadessa mapepa UDSM, ndiye aliyesupervise uuzwaji wa NBC kwa not more that tsh 15bl
check ulivyo mpuuzi, kuna chuo cho chote kinachofundisha watu A-level - form six??? you are a pure bogus UDSM graduate.

I think I'm arguing with Kids, wewe damn hicho chuo ulichosoma wewe unahesabu degree zake kama ni degree kweli. Waalimu wenu na degree zao feki huoni. Halafu usivyoweza kusoma between the lines kuna kampuni inaitwa IMMA ya waziri Masha? unajua masuala ya makampuni wewe kweli???

Na unajua profession ya sheria siyo siasa, mtu akiku-engage ufanye kazi unazingatia siasa za damn au professional ethics za sheria?

Kama division yako IV ilikufanya ukasome vyuo duni acha wivu wako wa kipuuzi kwa UDSM, hiki ni moja ya vyuo bora Afrika.

Damn we!
 
Come on Akashube ndio huo usomi wako?Toa data yoyote Mkono&Advoacte ameshinda kesi gani Ulaya/Marekani?Hizi propaganda hazifai kabisa.
Law ya Tanzania sasa is a joke!Ni kuiibia Tanzania!

Naomba urejee Mkono na BOT scandal.IMMA na conflicts of Interests na Waziri Masha.
Nasubiri kesi ya Mkono aliyoshinda Ulaya!Tupe data.

Mmakonde nimekubali wewe kweli mmakonde. Kwa sasa ni vizuri ukaanza kuongelea masuala ya ngoma na siyo usomi wala sheria. Kwanza hii kampuni ya IMMA ndiyo kampuni gani? Halafu conflict of Interest unayoizungumzia wewe ni ipi hiyo na ubora wa elimu wa chuo ulichosoma wewe unaingiaje hapo.

Narudia tena chuo ulichosoma wewe hata mjifanye mnahitimu na degree ni Form Six tu nyinyi.

Na kuanzia sasa nawapuuza maana siwezi ku-argue na watu wasiosoma. We kacheze ngoma tu naona huna data, unataka upate data kutoka kwa wanaume, tunakupuuza tu sasa.
 
I think I'm arguing with Kids, wewe damn fool kama jina lako lilivyo hicho chuo ulichosoma wewe unahesabu degree zake kama ni degree kweli. Waalimu wenu na degree zao feki huoni. Halafu usivyoweza kusoma between the lines kuna kampuni inaitwa IMMA ya waziri Masha? unajua masuala ya makampuni wewe kweli???

Na unajua profession ya sheria siyo siasa, mtu akiku-engage ufanye kazi unazingatia siasa za damn fool au professional ethics za sheria?

Kama division yako IV ilikufanya ukasome vyuo duni acha wivu wako wa kipuuzi kwa UDSM, hiki ni moja ya vyuo bora Afrika.
Very True.

Damn we!

Nimesome Digrii yangu ya kwanza UDSM. Ni chuo kizuri.
Namshukuru Mungu nimesoma digrii yangu ya pili nje ya nchi.
Na pia namshukuru Mungu nafanya digrii yangu ya tatu, chuo kizuri pia nje ya nchi.

Ukweli ni kwamba hadhi na elimu ya UDSM inashuka si ikama ilivyokuwa miaka minne au mitano iliyopita. Ila nakataa na nasikitika mtu anapokilinganisha vyuo vingine East Africa. Ukikiringanisha na Vyuo Hivyo Basi UDSM bado ni chuo bora. Ila ikiilinganisha UDSM na UDSM ya miaka ya nyuma then ni nikweli wanahitaji kubadilika.
Ni vizuri kuwa wazi.

In fact siasa zinaathiri maisha ya mtanzania kila nyanja. Hivyo badala ya kuwalaumu waalimu, nivizuri kuwa tia moyo. Ili waedelee na wasitegee wanasiasa.
 
Come on Akashube ndio huo usomi wako?Toa data yoyote Mkono&Advoacte ameshinda kesi gani Ulaya/Marekani?Hizi propaganda hazifai kabisa.
Law ya Tanzania sasa is a joke!Ni kuiibia Tanzania!

Naomba urejee Mkono na BOT scandal.IMMA na conflicts of Interests na Waziri Masha.
Nasubiri kesi ya Mkono aliyoshinda Ulaya!Tupe data.

1. DAWASA wins against Biwater - Mkono & Co successfully defends Tanzanian Government

The government organism has just won one of the arbitration procedures in the dispute that has pitted it against the British company for many years.

The arbitration tribunal of the United Nations Commission on International Trade Law (UNCITRAL) found in favour of the Dar-es-Salaam Water and Sewerage Authority (Dawasa) in its long-standing conflict with City Water Services Ltd (CWS), a joint venture between the British company Biwater International and its German colleague Gauff Ingenieure. These two companies had won the contract to operate the Dawasa and its infrastructure in 2003 (ION 1032), but the Tanzanian authorities suspended its contract unilaterally two years later. A lenghty arbitration procedure before several international bodies then ensued (ION 1172).

One of these procedures was before the UNCITRAL in London. The court gave its decision on 31st December, but it was only communicated to the two sides at the beginning of this year. In its findings, UNCITRAL considered that CWS had not fulfilled the clauses in its contract to run the water authority, getting results which were even worse than those when the water supply was run by Dawasa. The judges therefore considered that the unilateral breaking of the CWS contract was justified and condemned the company to pay Dawasa damages of up to 13.7 billion shillings (€7.9 million). At the same time, UNCITRAL decided to cancel part of the payment of this sum, awarding Dawasa an effective payment of only 7 billion shillings (€4 million). Moreover, CWS was condemned to pay Dawasa's legal costs amounting to 2.1 billion shillings (€1.2 million).

Dawasa was represented by a team consisting of Nimrod Mkono, Wilbert Kapinga, Karel Daele and Bart Wilms of Mkono & Co Advocates. Another arbitration procedure is under way before the Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID). CWS is presented by Allen & Overy, while the firms Mkono & Co Advocates and Freshfields Bruckhaus Deringer are representing Dawasa.
(The Indian Ocean Newsletter, January 19, 2008)
2. A Partner with Mkono & Co. Advocates to serve as an Election Observer in upcoming US Presidential elections

Mkono & Co Advocates has sent Clark Arrington, a Partner in its Banking & Finance division, to Ohio, USA, to serve as an Election Observer for the Barak Obama Presidential Campaign For Change. Clark Arrington is a citizen of the USA.

The Obama Campaign has recruited a cadre of attorneys to serve as Election Observers on Election Day, 4 November 2008. Clark Arrington has been assigned to Cincinnati Ohio and will join the Ohio Voter Protection Team.

Statement from Clark Arrington

“The Republicans have made ‘voter suppression’ an integral part of their electoral strategy. The State of Ohio has been particularly targeted as it is considered a critical battle ground state that current opinion polls show Senator Barack Obama with approximately a 6% lead. However, George Bush won the State of Ohio in 2004 with less than an 119,000 vote margin. In 2000 George Bush won the presidential election by winning the State of Florida with a mere 537 vote margin out of a total of 5.8 million votes cast .

As a member of the Ohio Voter Protection Team, I will serve as both a trouble shooter and as the eyes and ears of the Obama Campaign. I will assist election officials and help voters vote while also reporting concerns to the Obama Ohio Boiler Room. Election Observers are the Obama Campaign’s early warning system, preventing delay, ballot shortages and systematic problems with the election. My goal for the Precincts I will observe and monitor will be to ensure that every eligible voter can vote and every valid vote is counted.”
 
sio siasa tu mkuu, kuna mambo ya kikubwa pale we acha tu, 90% ya madegree ya mademu pale hasaa wenye 1st, uper 2nd na lower 2nd classes ni "pornographical degrees" na 50% ya madegree ya madume ni entrepreneural degrees............ we acha tu........... mnona hata hiyo nafasi ya 25 mi naona wamewapendelea??????????????? na migomo yote ile ya kila siku, walau wangekuwa ya 259 labda ingeleta maana kidogo!!....................
Kwa takwimu ulizoonyesha, ina maana wasichana hawastahili kupata 1st na 2nd classes? Unaweza kudhibitisha hili kwa data mkuu?? Wewe ni 'greti thinka'
 
Kwa takwimu ulizoonyesha, ina maana wasichana hawastahili kupata 1st na 2nd classes? Unaweza kudhibitisha hili kwa data mkuu?? Wewe ni 'greti thinka'

Tuambie Chuo Ulichosoma, na pia tupe matokeo yako ya Kidato Cha Nne na Sita.
 
Habarini waungwana, Kwamara ya kwanza najitokeza kwenye ulingo huu wa Kubadilishana mawazo na kuelimishana. Nipo UK kimasomo nafanya MA Contemporary Global Issues with Enviroment and Development.:D
 
I think I'm arguing with Kids, wewe damn hicho chuo ulichosoma wewe unahesabu degree zake kama ni degree kweli. Waalimu wenu na degree zao feki huoni. Halafu usivyoweza kusoma between the lines kuna kampuni inaitwa IMMA ya waziri Masha? unajua masuala ya makampuni wewe kweli???

Na unajua profession ya sheria siyo siasa, mtu akiku-engage ufanye kazi unazingatia siasa za damn au professional ethics za sheria?

Kama division yako IV ilikufanya ukasome vyuo duni acha wivu wako wa kipuuzi kwa UDSM, hiki ni moja ya vyuo bora Afrika.

Damn we!

punguza hasira, usiwe kama mtusi against mhutu. hii nchi ilishachanganyikiwa so has everything
 
My only advice to this Nutty Professor is 'STOP COMPLAINING AND GO BACK TO WORK IN ORDER TO IMPROVE YOUR RANKING'. Even if the only criterion used is website, visits as you would like us to believe, have you asked yourself why people are not interested with your website?

By the way even Webmatric has raked UDSM lower than Makerere.
 
na kwa nini umebase kwenye Law? so you are proving kwamba law pekee ndiyo super UDSM? lakini kumbuka hata rais wako alikiri kuwa wanasheria wetu hawajui kuandaa na/au kusoma na kuielewa mikataba. Na wanasheria wengi wa serikali ni UDSM product for your info.

Uozo ni uozo tu ndugu. Kukiri udhaifu ni ushujaa. UDSM needs a major shift.


Mheshimiwa mikataba ya Tanzania inaandaliwa na kusainiwa na wanasiasa siyo wanasheria waliobobea. Unakumbuka mkataba wa Buzwagi na tick tack za Nazir Karamagi?
 
We should be the change we want to see in the world (Gandhi)...

Tuache taarabu, Whether you are from a most reputable, honored and respectable instituion it does not carry much weight Esp. kwetu sisi ambao bado "Tunasubiri maisha bora kwa kila Mtanzania" (Hope unanielewa) we should see it by michango yako uitoayo ambayo italeta badiliko kwa jamii.
Kwanza hiyo kuona "chako" tuu ndio bora inatokana hasa na "Spirit ya U-mimi" ambayo imejengeka kwenye 'system' yetu... Hatuna haja ya kujadili chako, changu!! Tujadili changamoto za "Kimfumo" ambazo hazitatuweka katika makundi kama intelectuals!

Pengine hatujajua tuna adui mmoja... ndio maana every one is fighting on his own! Kuna tatizo... Tena tatizo ni zaidi ya the said degree za chupi na malecturer wenye degree fake.
 
Hapana shaka kuwa wametazama webmetric data zao na pia kama kweli kwanini mwaka jana walifanya vizuri walisifia lakini mwka huu ndio wamesema hivyo kwa sasa UDSM in matatizo Lukuki na pia hiyo tabia yao ya kufanya wale walimu bora kuondoka ndio inarudisha nyuma maendeleo ya chuo hicho
 
Back
Top Bottom