Wote tunajua umuhimu wa Africa Mashariki, hasa ukizingatia kuwepo kwa rasilimali nyingi na rasilimali watu hivyo soko la
muungano huu laweza kuwa kubwa na lenye faida. Ili wajasiriamali wakitanzania waweze kushindana na wajasiriamali wengine katika Africa mashariki tufanyeje?
Ninamna gani sisi watanzania mbali ya kuanzisha biashara zetu hapa nyumbani Tanzania, tutaweza kwenda kuanzisha makampuni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi na kufanya chuma ulete( kukusanya haraka mali sehemu nyingine na kuileta Tanzania kihalali) zipi ni fursa za kutuwezesha kucheza haka kamchezo ka-chuma ulete? Je tunaruhusiwa kuanzisha makampuni sasa katika nchi yoyote ya Afrika Mashariki ... kama ndio wapi kwa kuanzia?
muungano huu laweza kuwa kubwa na lenye faida. Ili wajasiriamali wakitanzania waweze kushindana na wajasiriamali wengine katika Africa mashariki tufanyeje?
Ninamna gani sisi watanzania mbali ya kuanzisha biashara zetu hapa nyumbani Tanzania, tutaweza kwenda kuanzisha makampuni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi na kufanya chuma ulete( kukusanya haraka mali sehemu nyingine na kuileta Tanzania kihalali) zipi ni fursa za kutuwezesha kucheza haka kamchezo ka-chuma ulete? Je tunaruhusiwa kuanzisha makampuni sasa katika nchi yoyote ya Afrika Mashariki ... kama ndio wapi kwa kuanzia?