a4afrika
JF-Expert Member
- Apr 13, 2012
- 1,388
- 1,323
Tumekwisha wakuu, do, kuna watabili waliwahi kutabili kutakuwa na utumwaw wa pili na huu utakuwa mbaya kuliko ile wa kwanza ndo haya
Tatizo waafrika tunafuga manyigu, halafu tunataka kupata asali, ulishawahi kuona wapi nyigu akatoa asali?
Huo ndio ubepari unaohubiriwa na wanasiasa wenu sijui ccm, chadema, cuf nk. wote ni ushenzi tu! Ukihoji eti "we have to undergo with the world situation" nani kasema ni lazima? PUMBAVU! Inakera sana! Unadhani tungekuwa tunajitegemea katika mifumo yetu, hawa wangeingia kihole hole tu humu? PUMBAVU TENA! Kwanini tunaacha wazungu kuturoga?
Ukihoji tu juu ya uhalali wao wa kuhodhi aridhi kwetu, watakufungulia ma-documents yenye sahihi zetu wenyewe kwenye UN Declaration of HR, Free Market Policy, Privatization Policy, Democratization, Foreign Investiment, nk. kote huko sahihi zetu zinatufunga wenyewe. Sasa kunatofauti gani kati yetu na wale wa kipindi cha Karl Peterz? Upuuzi mtupu!
Mungu wetu anaita!