Tangu jana nilijua tu something will happen to this guy afisa uhamiaji, now my suspicion has come to the point. Movie ndo imeanza, very soon tutasahau ya akina mwangosi, ulimboka na wengineo
Hata jf ni chombo cha habari kwa taarifa yako
jamani nashindwa kuelewa hivi huko mwanza kunanini? na jesh la polis linafanya nini? yaani watu wanauana wanaumizana tena kwa kisasi halafu nobody cares yumkin huyu mwanamke alikua ni hawara wa huyu bwana lol!
Jamaa amefariki dunia mchana, simu kutoka mwanza
Kamanda Barlow aliuawa jana majambazi kwa kupigwa risasi alipokuwa akimrudisha nyumbani dada yake wakitokea kwenye kikao cha harusi Kati ya saa saba na saa nane usiku.
Nitawajuza zaidi.
poor tanzania
tunaelekea wapi?