Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Naibu Waziri Wa Uchukuzi Dr. Athuman Mfutakamba (mwenye suti) akipata maelezo ya utendaji wa shughuli za upakuaji wa mizigo katika bandari ya Dar es Salaam jana jijini kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es salaam (TICTS) Neville Bissett.
ina maana hata hii kazi hakuna mtanzania anayeweza kuifanya? give ma a break: au mimi ndio kihiyo? kwani huyu afisa anatakiwa afanye nini kitu ambacho hakuna mtanzania anayekiweza?
ina maana hata hii kazi hakuna mtanzania anayeweza kuifanya? give ma a break: au mimi ndio kihiyo? kwani huyu afisa anatakiwa afanye nini kitu ambacho hakuna mtanzania anayekiweza?