Afisa misitu

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Afisa misitu kaenda kwenye shamba la miti ya jamaaa kukagua.jamaa akamwambia asiingie sasahiv . Afisa akatoa kitambusho cha kazi." We ni nani wa kunizuia? kwa hiki kitambulisho ,hakuna wa kunizuia nisifanye shughuli zangu!" Jamaa akamfungulia geti.
Baada ya muda jamaa akamuona afisa akifukuzwa na nyuki huku akipiga kelele. "Mama nakufaaa!Nisaidie nyukiiii! wananiuaaa!!!"
Jamaa akamwambia , " WAONYESHE KITAMBULISHO"!!
 
Katika chuo cha wanyama pori,Mwalimu alitoa mtihani wa mwisho kwa kuweka picha za miguu ya ndege na wanafunzi walitakiwa kuandika jina sahihi la kila ndege kutokana na picha miguu.
Mwanafunzi mkorofi alikagua maswali na kugundua hawezi kujibu hata swali moja.Ndipo alipoamua kupeleka karatasi yake ya kujibia pasina hata kuandika jina lake.
Mwalimu alishtuka kuona jamaa kamaliza maswali 50kwa dk5.Wakati mwanafunzi ameshafika mlangoni ili atoke chumba cha mtihani,Mwalimu aligundua jamaa hajajibu swali hata1 na wala hajaandika jina lake.Ndipo alipomuita"we kijana simama.mbona hujaandika jina?unaitwa nani?"
Mwanafunzi alisimama kidogo na kupandisha suruali ili mwalimu aone miguu huku akisema"angalia miguu utajua jina langu"
kisha akatokomea
 
Mchina,Mzungu na Mbongo walitaka kuonyeshana ukali wa teknolojia zao Mzungu aliweka earphone wireless akitumia Bluetooth kuckiliza sim na nyimbo Mchina alikuwa ana saa ila inafanya kazi kama simu Mbongo akaumiza kichwa afanyaje ili naye aonyeshe yake!Akaenda chooni,aliporudi akarudi uchi huku amening'iniza toilet paper kwenye ******,wazungu wakaona huyu katuzidi akili,wakamuuliza hii nini? Akawajibu hapa natuma fax
 
Katika chuo cha wanyama pori,Mwalimu alitoa mtihani wa mwisho kwa kuweka picha za miguu ya ndege na wanafunzi walitakiwa kuandika jina sahihi la kila ndege kutokana na picha miguu.
Mwanafunzi mkorofi alikagua maswali na kugundua hawezi kujibu hata swali moja.Ndipo alipoamua kupeleka karatasi yake ya kujibia pasina hata kuandika jina lake.
Mwalimu alishtuka kuona jamaa kamaliza maswali 50kwa dk5.Wakati mwanafunzi ameshafika mlangoni ili atoke chumba cha mtihani,Mwalimu aligundua jamaa hajajibu swali hata1 na wala hajaandika jina lake.Ndipo alipomuita"we kijana simama.mbona hujaandika jina?unaitwa nani?"
Mwanafunzi alisimama kidogo na kupandisha suruali ili mwalimu aone miguu huku akisema"angalia miguu utajua jina langu"
kisha akatokomea
Hakya nani ningeua huyu mtoto!
 
Mchina,Mzungu na Mbongo walitaka kuonyeshana ukali wa teknolojia zao Mzungu aliweka earphone wireless akitumia Bluetooth kuckiliza sim na nyimbo Mchina alikuwa ana saa ila inafanya kazi kama simu Mbongo akaumiza kichwa afanyaje ili naye aonyeshe yake!Akaenda chooni,aliporudi akarudi uchi huku amening'iniza toilet paper kwenye ******,wazungu wakaona huyu katuzidi akili,wakamuuliza hii nini? Akawajibu hapa natuma fax

Ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa................................. kwa kweli umenichekesha sana, asante kwa kuifanya ijumaa yangu kuwa ya furaha. We mkali
 
Ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa................................. kwa kweli umenichekesha sana, asante kwa kuifanya ijumaa yangu kuwa ya furaha. We mkali
teh teh teh si unajua teknolojia inapanda
 
Mchina,Mzungu na Mbongo walitaka kuonyeshana ukali wa teknolojia zao Mzungu aliweka earphone wireless akitumia Bluetooth kuckiliza sim na nyimbo Mchina alikuwa ana saa ila inafanya kazi kama simu Mbongo akaumiza kichwa afanyaje ili naye aonyeshe yake!Akaenda chooni,aliporudi akarudi uchi huku amening'iniza toilet paper kwenye ******,wazungu wakaona huyu katuzidi akili,wakamuuliza hii nini? Akawajibu hapa natuma fax

Fax kwenye "P" au "K"?
 
Mchina,Mzungu na Mbongo walitaka kuonyeshana ukali wa teknolojia zao Mzungu aliweka earphone wireless akitumia Bluetooth kuckiliza sim na nyimbo Mchina alikuwa ana saa ila inafanya kazi kama simu Mbongo akaumiza kichwa afanyaje ili naye aonyeshe yake!Akaenda chooni,aliporudi akarudi uchi huku amening'iniza toilet paper kwenye ******,wazungu wakaona huyu katuzidi akili,wakamuuliza hii nini? Akawajibu hapa natuma fax
haha
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mchina,Mzungu na Mbongo walitaka kuonyeshana ukali wa teknolojia zao Mzungu aliweka earphone wireless akitumia Bluetooth kuckiliza sim na nyimbo Mchina alikuwa ana saa ila inafanya kazi kama simu Mbongo akaumiza kichwa afanyaje ili naye aonyeshe yake!Akaenda chooni,aliporudi akarudi uchi huku amening'iniza toilet paper kwenye ******,wazungu wakaona huyu katuzidi akili,wakamuuliza hii nini? Akawajibu hapa natuma fax

hehehehe mkuu umenikumbusha kipindi nasoma walinipa jina la mzee wa FAX.......mjini shule!
 
Afisa misitu kaenda kwenye shamba la miti ya jamaaa kukagua.jamaa akamwambia asiingie sasahiv . Afisa akatoa kitambusho cha kazi." We ni nani wa kunizuia? kwa hiki kitambulisho ,hakuna wa kunizuia nisifanye shughuli zangu!" Jamaa akamfungulia geti.
Baada ya muda jamaa akamuona afisa akifukuzwa na nyuki huku akipiga kelele. "Mama nakufaaa!Nisaidie nyukiiii! wananiuaaa!!!"
Jamaa akamwambia , " WAONYESHE KITAMBULISHO"!!

hah.! We mpuuzi kweli, wanivja mbavu zangu mie loh
 
Katika chuo cha wanyama pori,Mwalimu alitoa mtihani wa mwisho kwa kuweka picha za miguu ya ndege na wanafunzi walitakiwa kuandika jina sahihi la kila ndege kutokana na picha miguu.
Mwanafunzi mkorofi alikagua maswali na kugundua hawezi kujibu hata swali moja.Ndipo alipoamua kupeleka karatasi yake ya kujibia pasina hata kuandika jina lake.
Mwalimu alishtuka kuona jamaa kamaliza maswali 50kwa dk5.Wakati mwanafunzi ameshafika mlangoni ili atoke chumba cha mtihani,Mwalimu aligundua jamaa hajajibu swali hata1 na wala hajaandika jina lake.Ndipo alipomuita"we kijana simama.mbona hujaandika jina?unaitwa nani?"
Mwanafunzi alisimama kidogo na kupandisha suruali ili mwalimu aone miguu huku akisema"angalia miguu utajua jina langu"
kisha akatokomea

Hakyanani umenichekesha bure, hah ha hah.! Safi sana
 
Afisa misitu kaenda kwenye shamba la miti ya jamaaa kukagua.jamaa akamwambia asiingie sasahiv . Afisa akatoa kitambusho cha kazi." We ni nani wa kunizuia? kwa hiki kitambulisho ,hakuna wa kunizuia nisifanye shughuli zangu!" Jamaa akamfungulia geti.
Baada ya muda jamaa akamuona afisa akifukuzwa na nyuki huku akipiga kelele. "Mama nakufaaa!Nisaidie nyukiiii! wananiuaaa!!!"
Jamaa akamwambia , " WAONYESHE KITAMBULISHO"!!
Haaa haaaa haaaa!asante mkuu!
 
Mchina,Mzungu na Mbongo walitaka kuonyeshana ukali wa teknolojia zao Mzungu aliweka earphone wireless akitumia Bluetooth kuckiliza sim na nyimbo Mchina alikuwa ana saa ila inafanya kazi kama simu Mbongo akaumiza kichwa afanyaje ili naye aonyeshe yake!Akaenda chooni,aliporudi akarudi uchi huku amening'iniza toilet paper kwenye ******,wazungu wakaona huyu katuzidi akili,wakamuuliza hii nini? Akawajibu hapa natuma fax
Haaaa haaaa haaaa,u made my day bro!
 
Afisa misitu kaenda kwenye shamba la miti ya jamaaa kukagua.jamaa akamwambia asiingie sasahiv . Afisa akatoa kitambusho cha kazi." We ni nani wa kunizuia? kwa hiki kitambulisho ,hakuna wa kunizuia nisifanye shughuli zangu!" Jamaa akamfungulia geti.
Baada ya muda jamaa akamuona afisa akifukuzwa na nyuki huku akipiga kelele. "Mama nakufaaa!Nisaidie nyukiiii! wananiuaaa!!!"
Jamaa akamwambia , " WAONYESHE KITAMBULISHO"!!

akome kabisa. Mambo ya kuwadharau watu wa chini kisa u bosi tu. Akome
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom