Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Afisa misitu kaenda kwenye shamba la miti ya jamaaa kukagua.jamaa akamwambia asiingie sasahiv . Afisa akatoa kitambusho cha kazi." We ni nani wa kunizuia? kwa hiki kitambulisho ,hakuna wa kunizuia nisifanye shughuli zangu!" Jamaa akamfungulia geti.
Baada ya muda jamaa akamuona afisa akifukuzwa na nyuki huku akipiga kelele. "Mama nakufaaa!Nisaidie nyukiiii! wananiuaaa!!!"
Jamaa akamwambia , " WAONYESHE KITAMBULISHO"!!
Baada ya muda jamaa akamuona afisa akifukuzwa na nyuki huku akipiga kelele. "Mama nakufaaa!Nisaidie nyukiiii! wananiuaaa!!!"
Jamaa akamwambia , " WAONYESHE KITAMBULISHO"!!