kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Changanya changanya!!
Kama baiskeli ya JK.
Changanya changanya!!
Hivi afisa afya who is this, anajua hata kufanya diagnosis, na ndiyo maana hana taarifa coz hajui hata what is ebola, kumekuwa na outbreak za measles kibao tunawapa taarifa ili watoe health education lakini nothing they are doing. Poor them acheni kubishana naye kama mganga mkuu kaona then this guy is nothing
nataka WALICHOSEMA ITV usiku huu...kwani nipo mbali na TV!!
Kumbe Afisa Afya wa mkoa wa Kagera naye anaisoma Jamiiforums!? Sasa ni wazi kwamba JF is rocking everywhere.
Back to ebola; mganga mkuu wa wilaya amethibitisha kuwepo mgonjwa mmoja mwenye dalili zote za ebola. Na kwamba wanasubiria wataalamu wa afya toka mpakani ili kufanya uchunguzi wa kina.
Je huyu afisa afya wa mkoa amefika karagwe kuthibitisha taarifa hiyo kabla ya kukimbilia kukanusha?
Huu upuuzi wa kukimbilia kutoa taarifa za kukanusha kila jambo bila kufanya uchunguzi ama kupata taarifa za kina ndio zitasababisha watu wengi wapoteze maisha ikiwa ugonjwa umeingia ama utaingia huko kagera.
Kama baiskeli ya JK.
tusikimbilie kukanusha kabla ya kufanya uchunguzi
Umeingia umeingia umeonekana kwa nani?
|
| |
|
Mwambieni asome Mwananchi la leo, kama haamini ITV na JFHuyu afisa anatoa majibu ya KICCM
Ipo siku utakuja omba rdhi watu wakianza kufa
Niko Berrien Springs, US, lakini kila siku napata mpya hapa JF. JF is more than Facebook and twitterDuh kumbe JF inasomwa hadi Nyakahanga, Murongo, Bugene, Umugakorongo, Umurushaka, nk.Mimi nilikuwa nikidhani inasomwa Dar, Arusha, New York, Washington DC, London kumbe siyo huko peke yake. Hakika JF ina impact kubwa ya kijamii na kisiasa hapa nchini. Tuitumie kwa weredi na kwa manufaa ya nchi yetu kwa ujumla.