Afghan Taliban leader Mullah Omar killed: Report

There are currently 51 users browsing this thread. (10 members and 41 guests)

Naona watu wanazidi kukusanyika kwenye hii thread kushangilia kifo cha Mullah.Mwaka huu mutafurahi sana kwani karibuni hivi watamuua Ayman Alzawahir.Hawana haja nao tena.
Lakini bado hawatatumaliza
 
Mkuu Edward Teller.
Umewahi kusikia uhusiano wa CIA na Taleban aka Mujahedeen?

Jisomee hapa.
CIA AND ISI NURTURED MUJAHIDEEN AND TALIBAN


Asia Times Online :: South Asia news, business and economy from India and Pakistan
mkuu NONDA-mimi nakubaliana nawe kabsa kwenye swala la usa kuwatengeneza mujahedeen/taliban-pesa walikuwa wanawapa saudi arabia na pakistan na walikuwa wanatumia pakistan army na ISI kuwapa silaha Mujahedeen kama stinger na whatnot they wanted
SWALA LA CONTROLLED DEMOLITION YA SEPTEMBER 11 PIA NALIWEKA AKILINI-JAPOKUWA JENGO LILIKUWA LIMESHALIPULIWA-WAO WALIAMUA KULIANGUSHA MOJA KWA MOJA-
ILA NILITAKA UCHEK INVOLVEMENT YA MULLAH OMAR-HUYU BWANA HANA MATATIZO SANA NA USA-SEMA UJINGA WAKE WA KUTOFAHAMU MAMBO NA KUWA TOO RADICAL NDIO UMEMFANYA AWE AMONGST KWENYE LIST YA WABAYA-ILA SIO THREAT KAMA VILE ANAVYOWAZIWA/TANGAZWA-JAPOKUWA ALISHATOA KAULI ZA KUHAMASISHA WATU WAUME WAMAREKANI
 
There are currently 51 users browsing this thread. (10 members and 41 guests)

Naona watu wanazidi kukusanyika kwenye hii thread kushangilia kifo cha Mullah.Mwaka huu mutafurahi sana kwani karibuni hivi watamuua Ayman Alzawahir.Hawana haja nao tena.
Lakini bado hawatatumaliza

Mtaisha tu!
 
Katika huu uvumi kuna hii piece hapa ndio imeniacha hoi
Extra! Extra! Mullah Omar arrested in Pakistan

by Nadeem F. Paracha on May 13th, 2011 | Comments (206)

ISLAMABAD: In a daring raid, Saudi Special Forces arrested renegade Afghan leader, Mullah Omar, from a famous five-star hotel located in one of Pakistan’s most popular vacation spots – Bhurban.
The news spread like wildfire and people were seen cursing the Pakistani government for allowing the Americans to undermine Pakistan’s sovereignty – again.
However, when it became clear that the raid was not conducted by the Americans but the Saudis, the frowns turned into smiles and many were heard saying, ‘Jazzakallah!’
Only minutes after the raid, Pakistan’s prime minister and Army Chief appeared on state-owned television and congratulated the nation and thanked the Saudi regime for helping Pakistan in its war against terror. http://www.dawn.com/2011/05/13/extra...-pakistan.html
 
mimi mbona nimefungulia runinga yangu hapa naangalia Al Jazeera hata kwenye headline hakuna hizo habari? kuna kaharufu ka uzushi hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom