Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Polisi wa ukonga hapa Dar, jana wamemchukua raia nyumbani kwake jioni, na kwenda naye kituoni kwa mahojiano, ndugu zake walipoenda kesho yake wakaambiwa kuwa ndugu yao, amepata homa hivyo kalazwa amana, walipoenda amana wakakuta amefariki.
Kamanda wa polisi wa Ilala alipoulizwa na redio wapo jana jioni alisema kuwa huyo raia wakati anahojiwa iligundulika kuwa ana homa hivyo akapelekwa hosp. na kufariki. Je ni sawa?
Kamanda wa polisi wa Ilala alipoulizwa na redio wapo jana jioni alisema kuwa huyo raia wakati anahojiwa iligundulika kuwa ana homa hivyo akapelekwa hosp. na kufariki. Je ni sawa?
Last edited: