Afanyeje naye anampenda?

Ambassador

JF-Expert Member
Jun 2, 2008
933
75
Wadau, kuna issue serious kidogo toka kwa best yangu mmoja. Ameanza kazi katika shirika fulani na hapo katika ofisi yake mpya amebahatika kumkuta dada mmoja mrembo sana ambaye ana vigezo vyote anavyovipenda mshikaji wangu. Akiwa katika kujizoeza na yule dada wafanyakazi wenzake wamemstua kwamba hapo anacheza na moto kwani huyo binti ni muathirika. Anasema amefuatilia stori za huyo dada kwa watu tofauti tofauti na anapata the same story.

Mshikaji kapagawa na anajipa moyo kwamba kwa kuwa ameshafahamu status ya huyo dada anaona bora endelee nae tu na atahakikisha anajilinda vema asiathirike.

Nimeshindwa kumshauri la maana huyu mshikaji wangiu kwani nilipomuuliza kama ana uhakika na analolifaya amesema "kwani mtu mwenye UKIMWI hana haki ya kuwa na mpenzi?" Nikaishia kumwambia atafakari kwa makini na awe mwangalifu maana "mambo ya rohoni" ni mtu mwenyewe anayependa. Sio baadae aanza kulaumu watu "mlinishauri vibaya".

Mwenzetu kafika bei, wadau mnasemaje?
 
Hapo ushauri wa kumpa huyu rafiki yako mwambie waende wakapime hosp. tofauti tofauti ila wakubaliane kwanza maana naona jamaa hata ndoano hajarusha binti akikubali asikimbilie kumega waende mguu kwa mguu kwa Dr. wapime afya zao.
 
The best thing ni kwamba ameambiwa na ameshaelewa kuwa huyo dada ana shida hiyo, so ataamua chochote kwa risk yake(nadhani yuko above 18) na kwa hiyo ni mtu rational, na ana akili timamu!

Otherwise huwezi kumshauri tofauti na akili yake inavyomtuma...never!
 
Mambo yanayo epukika ni bora n'tu kumwambia mapema maana tutaanza kupoteza muda kwa kuanza kumjenga kisaikolojia n.k
 
HEHEHE!
nashukuru mungu sina mapenzi ya staili hiyo
....THUG LOVING.....ndio mwendo wangu!
 
Anajidai inzi kufia kwenye kidonda eenh, hahaha wakapime kwanza awe na uhakika 100%, itamwezesha kujua namna ya kujikinga
 
Akiendelea kulilia kummmega mwambie atumie condom ndo solution pekee
 
Jamani huyu kaisha ambiwa demu mgonjwa , akapime nini tena?Sikio la kufa hilo.....
 
Kama amempenda kikweli waende tu wakapime wajue status zao simple ..lakini binadamu siku zote hatupendani kabisa mtu mmoja anaweza kukuzushia una ngoma au baya lolote analojisikia kisa umemtosa /mmegombana na habari ikasambaa dunia nzima na ikakuharibia sifa yako
Ingawa sometimez wanasema lisemwalo lipo
Hao watu wamempima kwa macho au wana kithibitisho gani juu ya madai hayo??
 
Halafu huyo jamaa naye kha! Yaani umeanza kazi ofisini umekuta msichana mrembo wewe tayari unamtaka, ina maana wanaume wenzio hapo ofisini sio marijali?

Mwambie aende taratibu bwana !!! :)
 
chukulia uko chumbani na mwanamke, mwataka fanya mapenzi (au ngono-call it whatever you want) kisha akakuambia, nimeathirika!!!!!!. Unaweza kuendelea?

utakalo fikiria ndilo la kumpa huyo jamaa yako.

Jibu langu ni hili, ikiwa jamaa yako hajaathirika, aachane na huyo mwanamke, PERIOD!!!!!. But ikiwa naye ni mwathirika, he should seek counselling kwanza.

And he is very funny ameanza kazi na kupenda hapo hapo ofisini? Anajua risks za mapenzi na workmate? na akiacha hapo akaanza kazi sehemu nyingine.....nako atapenda mwingine?
 
Jamani huyu kaisha ambiwa demu mgonjwa , akapime nini tena?Sikio la kufa hilo.....

lakini kuna uwezekano ni maneno ya waswahili tu kama kuna mtu alishamthibitishia jamaa kuwa aliona majibu ya vipimo vya huyo dada sawa...otherwise wakapime
 
Wakapime mara 2 hadi 3 kabla hawajafanya kitu.. La sivyo anajichimbia kaburi.. Wengi wameondoka kwa ubishi kama wake..
 
Akiendelea kulilia kummmega mwambie atumie condom ndo solution pekee

Is that guy serious???. One thing they may be only rumours! coz hamna aliyempima! au kuna mgonjwa mwenzie walikutana klinic akaamua kueneza habari.
Sasa unafikiri kama dada anajua kuwa tayari ashakwama atakubali kwenda kupima.

Swali kwa fidel
Ukaambiwa leo vivian ni muadhirika 100% then take a condom and sleep with her, will you dare????
 
Swali kwa fidel
Ukaambiwa leo vivian ni muadhirika 100% then take a condom and sleep with her, will you dare????

Karibu dear Vivian umepotea full category iliisha nn?
Jibu kwa Vivian kwanza kabisa Mtambo utalala doro hakuna kazi itakayo fanyika hapo 24hrs.
 
Karibu dear Vivian umepotea full category iliisha nn?
Jibu kwa Vivian kwanza kabisa Mtambo utalala doro hakuna kazi itakayo fanyika hapo 24hrs.

Asanteh kwa kunikaribisha kaka!! nilipata ajali na my car which I bought throgh my 2yrs saving was totally written off. i have been recovering slowly but littlebit stressed. I just thank God I came out alive. anyway yote mipango ya Mungu

Anyway asante kwa jibu zuri! I think that is the answer you could give to that young boy!

Nice day Fidel
 
Anyway asante kwa jibu zuri! I think that is the answer you could give to that young boy!

Nice day Fidel

Dah pole sana lakini natumaini sasa hivi upo oky!
Huku umia? Ilikuwaje mpaka ukala bam?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom