grndossy
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 311
- 80
Ni habari ya kweli na imenichanganya sana kwa kuwa namfahamu binti ni mtulivu na ana tabia njema. Sikutegemea kama yule Bwana angemfanyia hivyo wakati toka mwanzo alijua binti ni mkristo.
Makubaliano yao toka mwanzo yalikuwa nini maana na huyo binti alijua huyu jamaa ni muislamu.