MATESLAA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,246
- 74
miezi takribani 8 au 9 iliyopita nikiskiza kipindi katika moja ya radio radio maharufu sana hapa dar city,,ikimdhalilisha afade sasa kwamba anarasta chafu, haog,i anavuta bangi. kiukweli walimdhalilisha sana ,,ikafikia kipindi hawapigi nyimbo zake redioni sasa inakuaje afande sele umewapigia magoti kama mwanamke wa kikinga akimpa mumewe mji
afande sele aka simba jike haungati haaaaaaaaaaaaaaaa
na sabmit hoja
afande sele aka simba jike haungati haaaaaaaaaaaaaaaa
na sabmit hoja