Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,063
- 4,058
Huyu jamaa sijui ana matatizo gani, kila siku ni ugomvi kwa kwenda mbele.
Aligombana na Sugu, akagombana na O Ten, akagombana tena na P Funk, amegombana na Madee, amegombana na kina Ditto waliokuwa wote kwenye kundi la Watu Pori, juzijuzi huko Morogoro kafanya fujo na kujikuta yeye na rafiki yake kipenzi 20 Percent wakitiwa ndani.
Afande Sele sasa kagombana na huyo aliyekuwa rafikiye 20%.
Tumshauri huyu mwenzetu ili ajirekebishe, ili aweze kutimiza ndoto zake za kuwa MBUNGE
Aligombana na Sugu, akagombana na O Ten, akagombana tena na P Funk, amegombana na Madee, amegombana na kina Ditto waliokuwa wote kwenye kundi la Watu Pori, juzijuzi huko Morogoro kafanya fujo na kujikuta yeye na rafiki yake kipenzi 20 Percent wakitiwa ndani.
Afande Sele sasa kagombana na huyo aliyekuwa rafikiye 20%.
Tumshauri huyu mwenzetu ili ajirekebishe, ili aweze kutimiza ndoto zake za kuwa MBUNGE