Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
Labda waliomponda Afande Sele waliuangalia utamaduni wa kiTanzania zaidi ambapo mtu akifanya kitendo kama alichokifanya Afande Sele mara nyingi huonekana ni 'kichaa' ama ana ulimbukeni wa kuiga tamaduni za kimagharibi ambazo watu kujiachia uchi kama walivyofanya Akon na Wyclef Jean kwao ni kitu cha kawaida tu..Na Akon japo ana asili ya Senegal,ni mmarekani maana muda mwingi wa maisha yake ameutumia akiishi Marekani kiasi cha kupewa uraia wa nchi hiyohttp://www.google.co.in/search?hl=en&source=hp&q=akon+wikipedia&meta=&aq=0&oq=Akon+wiki)...So Afande Sele bado atazidi kushangaza kwa kitendo chake alichokifanya kutokana na Utanzania wake
afande bange zinamdhuru
True that but still Akon amechemsha... You cant just put the thing kinamna ile, Wycleff stopped some steps shorter
Anyway, kunya anye kuku, akinya bata uharo!!
tofauti ipo kwamba akina wyclef wanaonesha dizaina box, emporio armani, wakati ndugu yetu afande anaonesha kabox mtumba ..bwa ha ha ha ..
"Kuna biashara hapo wakuu", Akon na Wyc.hawakuvua bure pale walikuwa wanatangaza biashara ya nguo za ndani.Je Afande Sele alikuwa anatangaza nini nguo za ndani?.Wasanii msiige kila kitu, jamaa wamelipwa pesa nyingi kutangaza hizo nguo nyie mnaiga tu.Kwaherini.
"Kuna biashara hapo wakuu", Akon na Wyc.hawakuvua bure pale walikuwa wanatangaza biashara ya nguo za ndani.Je Afande Sele alikuwa anatangaza nini nguo za ndani?.Wasanii msiige kila kitu, jamaa wamelipwa pesa nyingi kugtangaza hizo nguo nyie mnaiga tu.Kwaherini.