Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Mkuu ZPC
najua katika utendaji wa kazi za kipolisi kuna minor cases na Sensitive cases ambazo handling zake pia ni tofauti,hoja yangu inajikita kwenye case Nyeti zinazohitaji umakini wa utekelezaji wake
1. Je kila order itokayo juu ni shurti itimizwe hata kama utekelezaji wake una utata na vingi viulizo?
2.Je Jeshi la polisi linaruhusiwa kusHahabikia mitizamo ya vyama vya siasa
3.ukiangallia jinsi ulivyonawa mikono sakata la Mwenyekiti wa CDM inatia shaka kwamba ule mtiririko wa GPO haukufuatwa bali ni msukumo wa kisiasa ambao wewe kwa wadhifa wako ungeweza kuukataa ama kutafuta njia ya busara kuumaliza badala ya kujimaliza wewe na hao wanaokutuma.
Ni vema polisi kujiridhisha na hizi orders na si kukimbilia utekelezaji ambao uko biased,msijitenge na raia,ninyi ni watz wenzetu ambao siku moja tutakuwa wote uraiani,kama ni kufuata sheria tufute bila upendeleo na pia tuzitafsiri kwa usahihi..iweje kesi hii ndogo itumike nguvu kubwa wakati kesi kubwa hata hazitumiki nguvu hizo?hati ya yule broker wa radar Vithlan mnayo miaka mingapi?mbona hamjatuma private jet kumfuata London?
Nawasilisha!
najua katika utendaji wa kazi za kipolisi kuna minor cases na Sensitive cases ambazo handling zake pia ni tofauti,hoja yangu inajikita kwenye case Nyeti zinazohitaji umakini wa utekelezaji wake
1. Je kila order itokayo juu ni shurti itimizwe hata kama utekelezaji wake una utata na vingi viulizo?
2.Je Jeshi la polisi linaruhusiwa kusHahabikia mitizamo ya vyama vya siasa
3.ukiangallia jinsi ulivyonawa mikono sakata la Mwenyekiti wa CDM inatia shaka kwamba ule mtiririko wa GPO haukufuatwa bali ni msukumo wa kisiasa ambao wewe kwa wadhifa wako ungeweza kuukataa ama kutafuta njia ya busara kuumaliza badala ya kujimaliza wewe na hao wanaokutuma.
Ni vema polisi kujiridhisha na hizi orders na si kukimbilia utekelezaji ambao uko biased,msijitenge na raia,ninyi ni watz wenzetu ambao siku moja tutakuwa wote uraiani,kama ni kufuata sheria tufute bila upendeleo na pia tuzitafsiri kwa usahihi..iweje kesi hii ndogo itumike nguvu kubwa wakati kesi kubwa hata hazitumiki nguvu hizo?hati ya yule broker wa radar Vithlan mnayo miaka mingapi?mbona hamjatuma private jet kumfuata London?
Nawasilisha!