vaspanya
Member
- Feb 3, 2012
- 70
- 15
Nyaga hausiki kweli!
huwezijua mkuu kwani Mawalla nae ni mafia
Nyaga hausiki kweli!
Sijajua Mwale alikosa nini mpaka awekwe rumande bila dhamana ebu fungukeni
yeah,wanasema ni mmoja wa wana mtandao alshabab! Lakini pia hata moja ya nyumba zake wanaingia wasomali kila kukicha!
mm nimemuona mke wake last week akiwa anaendesha hiyo escallade..Pia kuna hela zimetolewa karibu 200m kwa ajili ya kuhonga na hyo kesi sasa hivi ni danganya toto. Na waliopeleka hiyo hela dar nawafahamu kwa sura na majina. mmoja wao ni dalali maarufu sana arusha ambaye naye ni shabiki mzuri wa magari ya kifahari, ana gari lake moja aina ya HYUNDAI arusha analo peke yake. Initials za majina yake ni C.L
Kuna tetesi nimezipata ya kwamba kaka yake mwanahasha anahusika kwa 90% na mambo haya!
(riz 1)
Ntawajuza zaidi kwn nafuatilia kwa ukaribu kwa alinitonya!
Hakika mambo ni mengi sana!
haiwezekani bwana hiyo soo ingezimwa siku nyingi. alshabab ukiniambia ntakuelewa maana paka vyombo vya ulinzi vya marekani viliisimamia kidete hiyo ishu.