Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
Astaghfirullah, astaghfirullah, astaghfirullah, mswalie mtume.
Namkumbuka wakili Maira alijitolea bila malipo kuichukua kesi ya vijana wa Sekondari ya Tambaza waliokumbwa na tafrani ya fujo za mpirani mwaka 1993.
La ilaha illallah.
unaongela wale vijana waliosababisha O level ikafutwa tambaza ..Kina ...komando PUZZA..., muro,,..,mtoto wa KIARO[jenerali]....
walikuwa balaa wale