Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu
wakati wa uhai wake ulikuwa wapi kuyasema yote hayo mpaka ukasubiri mautini ndo umnange?
Pamoja na maendeleo ya kifikra na teknolojia, tunapaswa KUTOSAHAU taboos zetu muhimu, ikiwa ni pamoja na kutowananga marehemu.
...Ila kwa sasa unachokifanya ni sawa na kusema bora amekufa ambapo si hekima hata kidogo. Jaribu kukumbuka UTU wako ktk kipindi hiki kizito kwa familia yake kisha ndo tuanze kuwarushia madongo wakishaanua arobaini ya marehemu.
So I am only close to the kids of his first wife
mmhh ;RIP MAIRA
POLE SECOND WIFE N OTHERS
Second wife Davida alishapumzika kwa amani siku nyingi ndugu!
ikiwa ni pamoja na kulumbana wazi ni nani mwenye pesa zaidi kati yake na mwenzie Nimrod Mkono.
RIP Mpiganaji Mosses Maira.
Waungwana tuwe na Heshima na Staha kwa wenzetu waliotutangulia,haileti maana kumuumbua Marehemu kwa maneno ya kashfa na dharau,ikumbukwe kuwa Watoto,Ndugu na Jamaa wapo kwenye maombolezo.Hakuna Binadamu aliyekamilika,tujaribu kuenzi yale mazuri ya Marehemu na yote mabaya tuyaache.......Mwenyezi Mungu ampe Mapumziko mema maira!
Did you ever talk to Brother Malcolm? Did you ever touch him or have him smile at you? Did you ever really listen to him?
Katika eulogy ya Malcolm X Osie Davis alisema.
If you don't know the man, do not mudsling the man, especially based on some few google results pointing to half baked, good for nothing, fact starved, first account lacking, worse than toilet paper printouts that cannot even be qualified as yellow journalism, for doing that would be belittling yellow journalism.
To whom is this rant intended?
Katika eulogy ya Malcolm X Osie Davis alisema.
If you don't know the man, do not mudsling the man, especially based on some few google results pointing to half baked, good for nothing, fact starved, first account lacking, worse than toilet paper printouts that cannot even be qualified as yellow journalism, for doing that would be belittling yellow journalism.
What rant?
This one....
No rant, only rant is in the eye of the "rantee"
and who dat is?