kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
Kushtakiana ni kutafuta haki au usawa ili watu waishi kwa amani! Kwa hiyo sio kitu cha kushangaza, inaonekana hujawahi kushtakiwa au kushtaki!
Mambo ya K-Vant.Na wakome mijitu inayopenda kudhalilisha wanawake! Sasa mwnasheria mzima anafanya vituko vya kariakoo? Wacha ashtakiwe na ikiwezekana amlipe dada fidia yote anayodai!
Mange ana akili sana mbonaHuyu jamaa wa Imma advocate ndo kamfukuza kazi Fatuma Karume
Dah, lakini Mange ni Kichwa, kumbe kuna mtu alishajichanganya anga zake miaka mingi iliyopita akamchomoa mpunga mnene