Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Kuna tetesi kwamba yule mkwe wa Mkapa na one of the shareholder wa Kiwira/Tanpower Resources amefariki dunia huko India alikokuwa kwa matibabu, bado ni tetesi sijaconfirm, nimeona niilete hapa mweye habari zaidi aturushie.