Habari wana Jamii forum.
Hawa jamaa wa advans bank wametangaza nafasi ya finance assistant na wamesema watu waaply online kupitia address ifuatayo http://recruit.advanstanzania.com ..sasa nauliza ni nani ameweza kuaply kupitia hiyo address Maana mi kila nikifungua hiyo website inakataa kufunguka na deadline ni tarehe 18/10/2012
Hawa jamaa wa advans bank wametangaza nafasi ya finance assistant na wamesema watu waaply online kupitia address ifuatayo http://recruit.advanstanzania.com ..sasa nauliza ni nani ameweza kuaply kupitia hiyo address Maana mi kila nikifungua hiyo website inakataa kufunguka na deadline ni tarehe 18/10/2012