Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,690
- 39,753
hey wana jf
Najua kuna watu wanapata shida hasa wanaotumia simu kufungua hizi kampuni za shorten url baada ya kuwa forced ku open ads huku wanaekewa sekunde za kusubiri.
Na kama mnavojua browser za simu ie opera hazina javascript inayowezesha kuwait hizo sekunde but kwa njiaa hi ntakayowapa mtaweza
javascript:showSkip();
copy hio script then bookmark it isave kama chief-add-killer halafu ukiopen shorten url yoyote ikianza hesabu we open bookmark yako iclick then utaona neno skip add.
I hope itasaidia
Najua kuna watu wanapata shida hasa wanaotumia simu kufungua hizi kampuni za shorten url baada ya kuwa forced ku open ads huku wanaekewa sekunde za kusubiri.
Na kama mnavojua browser za simu ie opera hazina javascript inayowezesha kuwait hizo sekunde but kwa njiaa hi ntakayowapa mtaweza
javascript:showSkip();
copy hio script then bookmark it isave kama chief-add-killer halafu ukiopen shorten url yoyote ikianza hesabu we open bookmark yako iclick then utaona neno skip add.
I hope itasaidia