ur damn rght buddy.have u tried Premiere pro CS5?am using CS3 i have a full bundle of it.I still love Adobe Premiere Pro to do my staff and i have work with it for quiet long time now. Nimejaribu kutumia Software nyingine lakini Adobe nimeiona ni Nzuri kuliko nyingie. So am going for Adobe
umetisha mkuu.u were supposed 2 b my tutor.ha ha haNimeona hapo umeandika reason for editing front, nadhani ulikuwa na maana ya font, nimelazimika kuzungumzia hilo kwa sababu nimekutana na designers wengi wakisema front badala ya font, huwa nakereka.
nimebobea ktk premiere pro,after effect,photoshop na illustrator.na sasa hivi na najifua kuitumia maya autodesk.kwa hiyo issue yako siwezi kukusaidia ila naamin kuna madogo ambao wanaikimbiza final cut sana,wao wanaweza kukusaidiaMimi sio mtumiaji mzoefu nipo katika self training and by default natumia Final Cut Pro, kitu nisichopenda ni ile hali ya kulazimika ku render kila unapofanya marekebisho, kama kuna anayejua njia bora zaidi ya kutumia final cut aniambie.
umetisha mkuu.u were supposed 2 b my tutor.ha ha ha
nimebobea ktk premiere pro,after effect,photoshop na illustrator.na sasa hivi na najifua kuitumia maya autodesk.kwa hiyo issue yako siwezi kukusaidia ila naamin kuna madogo ambao wanaikimbiza final cut sana,wao wanaweza kukusaidia
Hapo kwenye maya autodesk pia umenigusa, uko hatua gani mwenzangu, nina usongo sana na 3d modelling and animation.
nimebobea ktk premiere pro,after effect,photoshop na illustrator.na sasa hivi na najifua kuitumia maya autodesk.kwa hiyo issue yako siwezi kukusaidia ila naamin kuna madogo ambao wanaikimbiza final cut sana,wao wanaweza kukusaidia
Final Cut Pro 3 v. 7 mwisho wa yote, Hii inabeba Audio Content, Motion Pro, Live Type, pia ina ProRes Codec, High-End Color grading na Compressor