Wataalam wa IT,
Nime-install Internet Explorer 8 kwenye computer yangu ikavuruga Adobe Flash Player. Kuna baadhi ya vitu siwezi kufanya bila ya kuwa na Adobe Flash Player 10.
Kila nikijaribu kui-dowload inanigomea, naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi wa easiest way ya ku-download na ku-install hiyo kitu.
Nime-install Internet Explorer 8 kwenye computer yangu ikavuruga Adobe Flash Player. Kuna baadhi ya vitu siwezi kufanya bila ya kuwa na Adobe Flash Player 10.
Kila nikijaribu kui-dowload inanigomea, naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi wa easiest way ya ku-download na ku-install hiyo kitu.