Kijana mmoja wa shule ya msingi alijikuta akila bakora kwa kumsaidia ndugu yake asiumwe na mbwa karibu ya shule yao mwl alikuwa karibu alipomsikia yule mfz akimtahadharisha kaka yake anaeitwa Wato kwa kumwambia "Wato mbwa x2. Mwl bila hili wala lile alimla viboko yule mfz.