Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Hii sio adhabu mkuu....inaonesha machine battery low ndio wanajaribu kuichaji.....
Duh mkuu umewaza mbali sana aise
Duh sikuwaza huko kabisa
Sasa kwa namna hiyo kweli mashine itashtuka au hapo jamaa ashakuwa tena battery low
Kina nani? we humo?Safi sana hii ndo dawa yao!
Lakini aisee hebu jaribu kujichaji kwa staili hiyo halafu uone utamu wake!Hii sio adhabu mkuu....inaonesha machine battery low ndio wanajaribu kuichaji.....
Safi sana hii ndo dawa yao!
Ha ha ha ha! Nadhani alikutanisha chanya na hasi pale kwenye "kichwa"!sijaelewa kule zilikoenda kuingia zile nyaya ameziunganisha vipi !?
...Mh!! Na nyie vipi?? Si itawafaa hiyo?? tunapenyeza nyaza hizo kunako ile habari inayowatia kibri.....haaahaaaahaaaah:lol::lol::lol:Safi sana hii ndo dawa yao!
Duh mkuu umewaza mbali sana aise
Duh sikuwaza huko kabisa
Sasa kwa namna hiyo kweli mashine itashtuka au hapo jamaa ashakuwa tena battery low
Hapo lazima jamaa ainuke apende asipende....shoti sio mchezo kaka
wasalimie mwahoba