Adhabu ya uzinzi

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
Mojawapo ya adhabu za uzinzi zinazoweza kutumika!

adhabu.jpg
 
mhhh wewe hapo unatafuta balaa
yaani uiue baiolojia yangu hivi hivi najiona
patachimbika
 
Hii sio adhabu mkuu....inaonesha machine battery low ndio wanajaribu kuichaji.....

Duh mkuu umewaza mbali sana aise
Duh sikuwaza huko kabisa
Sasa kwa namna hiyo kweli mashine itashtuka au hapo jamaa ashakuwa tena battery low
 
Hiyombona poa tu, baada ya maumivu kuisha inakuwa imeshajichaji. Unakuwa ngangari ile mbaya!
 
Hapo lazima jamaa ainuke apende asipende....shoti sio mchezo kaka

Ila ni kwa kipindi kifupi maana hiyo ya kushtuliwa hiyo haidumu bana
kitu iwe inafanya kazi yenyewe bila kulazimishwa sasa haya mambo ya kushtuliwa na short ni balaa
 
Huyu mtoa adhabu itamkosti kwa sababu atahitaji kifaa badae hafu ndo asha kipiga short, nae atatoka nje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom