VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
- Thread starter
- #81
Why if I may ask....?, yaani hakuna faida yoyote ya kunyonga watu?NO...., it‘s NOT
Why if I may ask....?, yaani hakuna faida yoyote ya kunyonga watu?NO...., it‘s NOT
Why if I may ask....?, yaani hakuna faida yoyote ya kunyonga watu?
Yes Mkuu kwahiyo if that the case tuache kutumia hii issue ya determent ya crime ku-justify death penalty.
Maybe kuna effective way ya kuwafanya wafungwa wawe productive..., yaani kama ina-cost x amount ya kumfunga mtu basi tuhakikishe anazalisha 3x akiwa jela.., huku anapata kibano cha kufa mtu, ili hata akitoka itabidi afikilie mara mbili kabla ya kurudi tena na in case ya watu ambao ni menace to society tuhakikishe they will never taste freedom ever again
That is the only way that is going to help me heal my wounds. I can't endure the fact of knowing that that person is still living somewhere. Knowing that he or she is forever gone; that they will never be able to walk the earth's surface again will somehow assuage my pain and help me close that sad chapter of my life.
So to me capital punishment is not so much about deterrence as it is about justice. In my view a cold blooded killer will never be productive. You kill my loved ones; you deserve to be killed also. Period, end of story.
As for the case of healing your wounds am sorry you will be disappointed nothing can and will ever heal your wounds its just learning to live with it.
As far as revenge is concerned you might get what you wanted (although am thinking even that revenge might not be as sweet cause if someone killed four of your loved ones a slow and painfully death they might have suffered more than what this lunatic is going to suffer, what am saying is there are a lot of sufferings which one can get which are more effective than death
i totally agree with afrodenziHukumu ya kifo si kwa ajili yao tubali kuwapa peace of mind waliokosewa.. Na tukiwafunga kifungo cha maisha watakuwa wanaTumia nguvu zetu ku ishi (tax)
na ukosefu wa uhuru ambao nadhani unafaa zaidi ni kumnyima mkosaji nafasi ya kufurahia O2Faida gani sasa?!
Aliyeuwawa atarudi?!HAPANA!
Wanaobaki wataogopa kuua?!Kwa kiasi kikubwa HAPANA.
So why bother?!Alambwe mboko kila siku na kazi ngumu/ukosefu wa uhuru ndo adhabu itakayomfaa zaidi.
Duh...mpaka OXYGEN ambayo hata wewe hulipii unaionea uchungu?!na ukosefu wa uhuru ambao nadhani unafaa zaidi ni kumnyima mkosaji nafasi ya kufurahia O2
hili swali limejibiwa hapo juu wafungwa wanaweza wakawa productive wakajilisha wenyewe na hata watu wengine.., hata huyo mtu anayehukumiwa kunyongwa kuendesha kesi na kuandaa process mpaka ya kumyonga inatumia cost nyingi sanai totally agree with afrodenzi
hili swali limejibiwa hapo juu wafungwa wanaweza wakawa productive wakajilisha wenyewe na hata watu wengine.., hata huyo mtu anayehukumiwa kunyongwa kuendesha kesi na kuandaa process mpaka ya kumyonga inatumia cost nyingi sana
Hii ni response ya mdau mmoja aliesema kwamba kuwafunga hawa watu wanatumia pesa zetu (kodi) na mimi nikamweleza kwamba its not true sababu hata kunyonga kodi yetu inatumika..., Na hapo suala la kwamba kumuua muahilifu itakuwa ni haki imetendeka kwa waliobaki (this is debatable)...So what kama itagharimu kiasi kikubwa cha fedha katika mchakato wa kumpata na hatia, kumhukumu, na hatimaye kumuua muuaji? Fedha mbele ya haki ya binadamu waliouawa ina thamani yoyote kweli? Sidhani katu!
hapa ningekubaliana nawe kama kuna well structured systems za kufanikisha mambo hayo, otherwise mimi na advocate an eye for an eye and a tooth for a tooth. it is simply a fair game where no one is left scorch free having committed brutal murder. imagine merciless killing of albino and brutal mutilation of their body parts......yet the hooligans are left to enjoy free oxygen...i believe no corporal punishment given can ever justify sufficient impact of their actions.Kwahiyo una-advocate an eye for an eye.., ukitaka mtu mkono na wewe ukatwe mkono? huoni kwamba hapa jamii itapata hasara badala ya kilema mmoja basi watakuwa na vilema wawili?, huoni kwamba ingefaa zaidi kama huyu aliyekata mkono afanyishwe kazi na matunda ya kazi zake yaweze kumtunza aliyemdhuru?
Hii ni response ya mdau mmoja aliesema kwamba kuwafunga hawa watu wanatumia pesa zetu (kodi) na mimi nikamweleza kwamba its not true sababu hata kunyonga kodi yetu inatumika..., Na hapo suala la kwamba kumuua muahilifu itakuwa ni haki imetendeka kwa waliobaki (this is debatable)...
Just a question mtu aliyebaka mtoto wa mtu tumfanyeje?.... tumyonge au na sisi tubake mtoto wake? Cause I can argue kubaka mtoto is as much a serious offence as killing
hili swali limejibiwa hapo juu wafungwa wanaweza wakawa productive wakajilisha wenyewe na hata watu wengine.., hata huyo mtu anayehukumiwa kunyongwa kuendesha kesi na kuandaa process mpaka ya kumyonga inatumia cost nyingi sana
Hii ni response ya mdau mmoja aliesema kwamba kuwafunga hawa watu wanatumia pesa zetu (kodi) na mimi nikamweleza kwamba its not true sababu hata kunyonga kodi yetu inatumika..., Na hapo suala la kwamba kumuua muahilifu itakuwa ni haki imetendeka kwa waliobaki (this is debatable)... Just a question mtu aliyebaka mtoto wa mtu tumfanyeje?.... tumyonge au na sisi tubake mtoto wake? Cause I can argue kubaka mtoto is as much a serious offence as killing
Haki vs gharama.
Suala 'gharama' (monetary!?) kwenye makosa ya jinai/mauwaji haliepukiki kama unataka kutenda haki. Argument kwamba kuendesha kesi za mauwaji ni gharama kubwa ipo very weak (hasa nikiichanganya na hoja yako ya kuwa adhabu ya kunyona ni ndogo/haitoshi). Kwa nini gharama ni kubwa? (jibu la suala hili litakuonesha uzito wa adhabu ya kunyonga kulinganisha na adhabu nyingine).
Kama ukitaka kuangalia gharama (na sio haki), kuna kesi nyingi tu za kijinai hata zisingepaswa kusikilizwa kabisa mahakamani ama wakosaji kufungwa (kuepuka gharama). Lakini bado kesi zinafanyika na wanaotiwa hatiani wanapewa adhabu ili kutoa haki kwa pande zote.
hahahahahahah!!!!!subutu yako!!!!!!!!!!!! i swear huwezi kubali kunyongwa, utaprefer life sentencePoint yangu ya kuhusu gharama imekuja pale watu waliposema kwamba kunyonga kunapunguza cost (mimi nikasema process nzima mpaka kufikia mtu kunyongwa ni gharama sana sababu huwa wanahakikisha mtuhumiwa anapata utetezi mzuri sana ili kuhakikisha kwamba haki inatendeka na sio kumyonga mtu ambae hana hatia (kwahiyo point yangu pale ilikuwa kwenye ku-justify death penalty tusiweke suala la kwamba inapunguza cost).
Na issue ya kwamba Death Penalty haitoshi mimi naona ni ndogo lakini State na Society inaona ni kubwa na itakuwa ni pigo kwa state ikija kubainika kwamba aliyenyongwa halikuwa hana hatia (na hii imeshatokea before) na bado nina-argue kwamba kifo sio ultimate na the worse punishment (ingekuwa hivyo watu wangekuwa hawajiui). Hata mimi nikipewa a choice either nipate a quick death (kunyongwa) au nikae maisha yangu yote yaliyobaki kwa mateso nitachagua kunyongwa...
Process ya mpaka mtu kuja kunyongwa ni kubwa sana..., alafu tunaweza tukafanya gereza likawa productive yaani kuhakikisha kwamba mfungwa kama alazalisha 2x basi matumizi yake ni x yaani tuhakikisha kila wanachokula wanakizalisha na surplus inapatikanakunyonga is not costly as compared to feeding,medical cover and amenities accrued to a life sentence hooligan.
pia huwezi kufananisha kubaka na kuua. aliyebakwa ana uhai na kupitia rehabilitation maisha yatakuwa sawa. aliyebaka ndo anastahili life sentence, viboko na kazi ngumu ili liwe funzo kwake na watu wenye tabia kama yake.
Mkuu kwani kunyonga ndio kutamrudisha huyo bread winner?, lakini psychological damage ya kumbaka mke au mtoto wa mtu unaweza ukamfanya asitake kuguswa na mwanaume tena au kama ni mtoto achukie tendo la ndoa.., na kama ni mke wa mtu just imagine effect atakayokuwa nayo mme wake na watoto...? Pili ndio maana nikasema njia nzuri labda ni kumfilisi aliyentenda hayo mauaji au kumfanyisha kazi na profit kwenda kwa waathirikaimagine babamtu anauliwa na ndo bread winner kwenye familia-meaning familia nzima itaadhirika physically, psychologically and spiritually.