Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,068
Umenena vema!
Hii ndiyo suluhu ya tatizo!
Hii ndiyo suluhu ya tatizo!
mwalim umenena.
nilikuwa najiuliza hivi mawasiliano ya kindoa kati ya wananandoa yanasimamiwa na nini na wapi?
je ni tendo tu la kumake love ama ni pamoja na maongezi ya siku nzima na maisha ya siku hiyo? kama ni wakati wa tendo tu basi rejections lazima itakuwepo tu manake hakuna maandilizi hata kidogo. ila kama maisha ya siku nzima yana akisi mawasiliano ya kindoa basi lazima utajua leo wangu ana hamu na mimi ama la. na kama unahamu utakuwa umesha express kihisia zako na amekusoma na infact wakati wa tofauti kati ya wanandoa ni busara zaid mmoja kujishusha pasi kuhesabu gharama ili kurudisha amani iliyopotea kati yenu.
huwaga nasema kama imeshindikana kabisa basi ni bora mkiingia kitandani mkakumbatiana tu and Mungu alivyo wa ajabu utashangaa amani imerudi na hisia za mapenzi zimeamka kati yenu.
kiukweli nasema siwezi hata siku moja kumnyima wangu wa kumoyo lol! yaani nilale na nyege eti nimesusa i cant aisee. ama sina hamu lazima aitafute hamu yangu ilipo ailete ngoma ilie.