Mbonea
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 640
- 20
Wadau, nilikuwa nasikiliza BBC Swahili leo asubuhi na ndipo ilipokuja habari kuhusu adhabu ya kifo kwa upande wa nchi yetu. Takwimu zinaonesha kuwa kipindi cha awamu ya kwanza na ya pili walinyongwa wafungwa 204. Ripoti ikaendelea kusema kuwa awamu ya tatu mheshimiwa Mkapa alitoa msamaha wa wafungwa 101 wa kunyongwa na mheshimiwa Kikwete mpaka sasa 73...
Jeh! Kuna haja ya sheria hii kuendelea? maana ni kama inakiuka HAKI ZA BINADAMU...
Jeh! Kuna haja ya sheria hii kuendelea? maana ni kama inakiuka HAKI ZA BINADAMU...