ADHABU gani zinafaa kwa watoto?

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
Kumekuwa na kampeni nyingi za kutetea haki za watoto mashuleni na mahali pengine popote.

Moja kati ya suala tata katika haki za watoto ni kama watoto waadhibiwe wanapokosa ua wasiadhibiwe kabisa.

Na kama watoto wanapaswa kuadhibiwa wakosapo, waadhibiwe je na adhabu zipi zinafaa kwa watoto hadi umri wa miaka 18.

Naomba mawazo ya wana jamii kuhusu jambo hili tata.
 
njia mojawapo ni kumnyima ktu anachopenda kwa ahadi kuwa akijirekebisha utampa!!

Mind you "be loving but firm"
 
It sounds good bht, but si anweza kuwa mnafiki ili apate?

sio rahisi, samaki mkunje angali mbichi na umleavyo mwana ndivyo akuavyo. they cant pretend for long.

mazoea hujenga tabia!!!! mwache mtoto azoee mambo mema then atakuwa na tabia njema automatically!!
 
sio rahisi, samaki mkunje angali mbichi na umleavyo mwana ndivyo akuavyo. they cant pretend for long.

mazoea hujenga tabia!!!! mwache mtoto azoee mambo mema then atakuwa na tabia njema automatically!!

Nimekupata rafiki.
Kulea ni kugumu sana.
 
Bht, nahisi kama wewe ni mwalimu mzuri wa watoto.

I love children Emma ukweli toka moyoni!!! nimefundisha sana children classes nikiwa sekondari and as we are tokin mimi ni mratibu wa such classes ni my rel.community!!!

they are so precious, very unique and pure!!!
 
I love children Emma ukweli toka moyoni!!! nimefundisha sana children classes nikiwa sekondari and as we are tokin mimi ni mratibu wa such classes ni my rel.community!!!

they are so precious, very unique and pure!!!
bht, Nimepatia kumbe.
Natamani ningekuona uso kwa uso.Mie bado nasoma rafiki.Nahitaji kujifunza kwa watu kama wewe.
You must be polite and slow angered.
I feel so.
 
bht, Nimepatia kumbe.
Natamani ningekuona uso kwa uso.Mie bado nasoma rafiki.Nahitaji kujifunza kwa watu kama wewe.
You must be polite and slow angered.
I feel so.

hahaaa!!! i have several faces kulingana na tukio na mahali si unaelewa!!!

mind u I started doing that nikiwa bado shule na si chuo!!!! passion is all that matters.
 
sio rahisi, samaki mkunje angali mbichi na umleavyo mwana ndivyo akuavyo. they cant pretend for long.

mazoea hujenga tabia!!!! mwache mtoto azoee mambo mema then atakuwa na tabia njema automatically!!
Changamoto kweli.
 
Na kumchapa kidogo inafaa jamani. Siyo ya kumjeruhi hapana ni kumkumbusha. Na anatakiwa atambue kwanini amechapwa. Zipo adhabu nyingine km kumnyima anachokipenda au hata kumwambia akae sehem for some minitues then aseme kosa lake na kuomba msamaha. Ila hayo yote yanafaa yaambatane na maelezo kwanini ameadhibiwa
 
Mimi huwa nawa finya kidogo wale wote ambao under 8

Wale ambao ni above 8..uso unabadilika namkazia macho mpaka anatambua kwamba sipendi jambo hilo

Finally nampa ushauri faida na hasara za kutofanya au kufanya jambo fulani kwake na kwa jamii hasa wale ambao wako above 8!

Note: nothing like standard measures kwasababu kinder wana differ ile mbaya kwa tabia na situation ..it is all situtianal so it depends mtoto, historia yake tabia zake etc..
 
Na kumchapa kidogo inafaa jamani. Siyo ya kumjeruhi hapana ni kumkumbusha. Na anatakiwa atambue kwanini amechapwa. Zipo adhabu nyingine km kumnyima anachokipenda au hata kumwambia akae sehem for some minitues then aseme kosa lake na kuomba msamaha. Ila hayo yote yanafaa yaambatane na maelezo kwanini ameadhibiwa

Nakusahuri usimnyime mwanao anachopenda utamjengea sychological problem, ni heri umadhibu vingine lakini mpe anachopenda afurahi please.

Pili usimtenge kwa lolote ni hatari anaweza kuwa mjeuri zaidi.
 
Na kumchapa kidogo inafaa jamani. Siyo ya kumjeruhi hapana ni kumkumbusha. Na anatakiwa atambue kwanini amechapwa. Zipo adhabu nyingine km kumnyima anachokipenda au hata kumwambia akae sehem for some minitues then aseme kosa lake na kuomba msamaha. Ila hayo yote yanafaa yaambatane na maelezo kwanini ameadhibiwa
Naungana nawe binhai,angalia sisi tulivyokuwa tunachapwa enzi zetu,na hapa tulipo sasa,viboko vinasaidia sana kwa watoto watukutu!!!
 
panapohitajika hasira, muoneshe hasira na papohitajika kupongezwa,mpongeze. akirudia kosa mara nyingi mchape kidogo kichapo ambacho hakitomuumiza. mjengee mazingira ya mapenzi ili ajirekebishe kutokana na mapenzi yako zaidi kuliko adhabu.mtafutie marafiki wenye tabia njema ili aige tabia njema katika umri huu ambao kila mtoto analoliona anaiga na kuweka akilini.
 
Nakusahuri usimnyime mwanao anachopenda utamjengea sychological problem, ni heri umadhibu vingine lakini mpe anachopenda afurahi please.

Pili usimtenge kwa lolote ni hatari anaweza kuwa mjeuri zaidi.
Tumaini adhabu si kwa kosa linaloonekana tu. Hata kwa kutofikia target. Manweka malengo ya kufanya homework na hayafikii, ni lazima weekend moja umpumzishe nyumbani ili afikirie upya namna ya kuhandle uvivu wake.
 
Naungana nawe binhai,angalia sisi tulivyokuwa tunachapwa enzi zetu,na hapa tulipo sasa,viboko vinasaidia sana kwa watoto watukutu!!!

Nakubaliana na wewe 100% viboko vinasaidia sana na mimi ni shahidi. Viboko vilinisaidia sana kunifanya niwe nilivyo. Cha kuangalia ni usimchape mtoto wakati una hasira kwa sababu unaweza muumiza, halafu hakikisha unamuelewesha kwa nini unamchapa ili ajue kosa lake.
 
malezi ya watoto ni complex sana, hayana formula. adhabu muafaka hutegemeana kiwango cha "umri wa akili" na si umri wa miaka. kuna watoto ambao kiakili wako mbele kiumri kushinda miaka waliyo nayo. hapa ndipo panahitaji hekima, ukikosea kidogo, mtoto atakuchukia badala ya kujirudi.

kuna jirani yetu mmoja tulipokuwa wadogo, hadi leo baba yake anamuogopa kwa sababu alikuja kugundua kuwa makosa yote aliyokuwa akimuadhibu alikuwa anamuonea! yaani mtoto alikuwa mbele kiakili kuliko umri wake na kwa kushindwa kubaini, baba alifikiri ana kiburi hivyoo akawa namuadhibu mara kwa mara. ni baaa ya ushauri nasaha ndio baba aligundua kuwa alikuwa anamuonea mwanae kila wakati alipomuadhibu utotoni na kwa kweli mtoto wake aliathirika sana kisaikolojia ikalazimu apewe shauri nasaha.

siku moja nitawaletea kisa hiki kikamilifu kabla sijapiga kambi jimboni
 
Back
Top Bottom