- Inasemekana kuwa Magufuli, Wassira, Mgulu Nchemba, Rage Mukama ndio wamechangia KUILAZA CHALI CCM katika uchaguzi jimbo la Igunga uliompa ushindi Dalali na kutenguliwa na Mahakama kuu unadhani CCM iwape adhabu gani wahusika hawa?????????????????/
- Inasemekana kuwa Magufuli, Wassira, Mgulu Nchemba, Rage Mukama ndio wamechangia KUILAZA CHALI CCM katika uchaguzi jimbo la Igunga uliompa ushindi Dalali na kutenguliwa na Mahakama kuu unadhani CCM iwape adhabu gani wahusika hawa?????????????????/
Wapewe vyeo vya juu zaidi chamani kwao huko ikiwa ni pamoja na cheo cha UKAMANDA WA GREENGUARD taifa pamoja na ukatibu mwenezi wa MabwePande na mashaibu yake kwa taifa.
- Inasemekana kuwa Magufuli, Wassira, Mgulu Nchemba, Rage Mukama ndio wamechangia KUILAZA CHALI CCM katika uchaguzi jimbo la Igunga uliompa ushindi Dalali na kutenguliwa na Mahakama kuu unadhani CCM iwape adhabu gani wahusika hawa?????????????????/
Hao jamaa sidhani kama wanaweza wakawa wamechangia kukipiga chini Chama Cha Magamba huko Igunga. Hao watu ni thithiemu original. Kiutaalamu,Magufuli ni bingwa wa mahesabu,bomoa boma,vipimo na idadi ya viumbe ndani ya maziwa na bahari katika chama.Wasira ni bingwa wa kusinzia,kuota ndoto na masumbwi ndani ya chama.Mwigulu Nchemba ni bingwa wa kuongea maneno mbofu mbofu na kuidharirisha bendera ya Taifa kwa kuifanya kuwa skafu, akifikiri ndiyo anaipeperusha! Rage ni baunsa wa chama anayetembea na bastola kiunoni na kuionyesha hadharani bila woga na kutochukuliwa hatua kama ilivyoahidiwa. Mukama ni mwalimu wa Nape. Kwa hiyo yale yote anayoyasema Nape anakuwa ameyatoa kwa mwalimu wake.
Sio rahisi hao jamaa kuilaza chali timu yao. Watakula wapi? Kumbuka wakati wa kampeni za uchaguzi Igunga hao wote walikuwepo na kuipa tafu timu yao. Haki imetendeka jamaa wanataka kusonga mbele kwa kukata rufaa.
Toka hapaWe work as a team. Hatuna utamaduni wa kutafuta mchawi tatizo linapojitokeza. Najua mngetamani vurugu zitokee, lakini sisi sio ninyi.
We work as a team. Hatuna utamaduni wa kutafuta mchawi tatizo linapojitokeza. Najua mngetamani vurugu zitokee, lakini sisi sio ninyi.
HILI LA KUMNYIMA MWIGULU SIFA YAKE KUU KITAIFA KAMWE HALIVUMILIKI
Mkuu Kisugujira hili halivumiliki uonevu wako kwa Mwigulu Nchemba aka Kamanda wa jeshi lisilo rasmi linalotumika kigaidi (THE GREENGUARD NA BUNDUKI ZA KI-CHINA) nchini Tanzania; hivi ndio kusema umeamua kufumbia macho sifa yake kuu na mke wa kada kule Igunga au ndio tuseme umefanya makusudi tu??????