BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
ADHA HII ITAISHA LINI! http://majira.co.tz/index.php?view=...bali&id=1731:adha-hii-itaisha-lini&format=pdf http://majira.co.tz/index.php?view=...hii-itaisha-lini&tmpl=component&print=1&page= http://majira.co.tz/index.php?optio...pY2xlJmlkPTE3MzE6YWRoYS1oaWktaXRhaXNoYS1saW5p Wednesday, 21 October 2009 08:02
Wanafunzi wa Darasa la Nne katika Shule ya Msingi Mtakuja iliyoko Vingunguti katika Manispaa ya Ilala, Dar es salaam wakifanya mitihani ya "mock" wakiwa wameketi sakafuni kutokana na ukosefu wa madawati unaoikabili shule hiyo. (Picha na Gladness Theonest)
Wanafunzi wa Darasa la Nne katika Shule ya Msingi Mtakuja iliyoko Vingunguti katika Manispaa ya Ilala, Dar es salaam wakifanya mitihani ya "mock" wakiwa wameketi sakafuni kutokana na ukosefu wa madawati unaoikabili shule hiyo. (Picha na Gladness Theonest)