Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
hONGERA
Wakuu nimepokea ttarifa hizi kwa masikitiko makubwa; wazungu wanasema, if it aint broken, dont try to fix it!!!
unfortunately simba tumeruhusu nyag'au la michezo ambalo lilishawahi fungwa jela, kushusha daraja timu na kuharibu FAT kuwa kiongozi; tunachokiona hapa ni tabia yetu halisi ya kinafiki kumkubali mtu kama vile hakuna mtanzania anayeweza kuongoza soka badala ya huyu jamaa
MODS, UNGANISHENI HII NA LILE JUKWAA LETU TUKUFU LA WANASIMBA
simba kwisha. huyo rage ni tapeli wa maneno hana jipya simba
...Tupo Pamoja Mkuu. Hakuna Jipya.