Addiction

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,889
11,283
Guys...

This JF MMU is very addictive sasa... yani wherever i go these days, the first thing i do ni kuulizia kama kuna wanaJF nk.

You just cant stop thinking of MMU

I think we can create a very powerful tool to support each other kwenye mambo mengi sana through this forum

just cant get enough of this forum
 
Hommie kweli kabisa nowadays MMU is my home page lol..:clap2::clap2:
 
Yeah... ati nimeamka cha kwanza nikafungua MMU ndio nikaanza siku

I must admit kwamba this is the best avenue for us refresh mind, learn from each other and relieve some stress as well
 
Guys...

This JF MMU is very addictive sasa... yani wherever i go these days, the first thing i do ni kuulizia kama kuna wanaJF nk.

You just cant stop thinking of MMU

I think we can create a very powerful tool to support each other kwenye mambo mengi sana through this forum

just cant get enough of this forum
Halafu hommie hiyo Avatar mambo si yalishapita hayo au?
 
Yeah... ati nimeamka cha kwanza nikafungua MMU ndio nikaanza siku

I must admit kwamba this is the best avenue for us refresh mind, learn from each other and relieve some stress as well
:clap2::clap2::clap2::clap2:
 
TF... naona kimey akiona torres anashika uso na yeye anaona aibu:first:
 
Mie nikiingia kwa kitanda kulala lazima nipitishe saa nzima na browse nikiamka asubuhi napo nakimbilia mobile lazima nicheki kilichojiri JF. yaani ni raha tupu
 
Man,
Life is all about making friends!...more friends, SAFER!
With me, JF has brought a new meaning to life!...I have reached the destinations which i didnt dream of before! ha ha haaa!
With MMU, my love life has attained brand new navigational aids!
 
Man,
Life is all about making friends!...more friends, SAFER!
With me, JF has brought a new meaning to life!...I have reached the destinations which i didnt dream of before! ha ha haaa!
With MMU, my love life has attained brand new navigational aids!
Mkuu what it do?? Swalama
 
Hii adikshen haipo kwangu....infakti naitafuta siipati...:laugh:
 
Back
Top Bottom