Juzi Juzi Dr Bilal alikuwa USA
Malecela UK,USA
Achiliia King of Airspace,Kiranja mkuu
Sasa mtoto wa mkulima yuko Far East,it seems kila mwaka lazima aende huko
Mr Pinda na mkewe eti wamefungua Meli ya Utafiti wa Mafuta Korea!!!(sio Tanzania)
Yuko na akina Ngeleja ambae ameshindwa kabisa majukumu yake(at least Korea hawana mgao wa umeme)
Eti Mama Pinda naye anapewa wasaa wa kufungua meli hiyo ya mafuta(sio govt official).
Can you imagine mke wa Sokoine,Cleopa Msuya kufanya jambo hili?
A country now is a big joke
Malecela UK,USA
Achiliia King of Airspace,Kiranja mkuu
Sasa mtoto wa mkulima yuko Far East,it seems kila mwaka lazima aende huko
Mr Pinda na mkewe eti wamefungua Meli ya Utafiti wa Mafuta Korea!!!(sio Tanzania)
Yuko na akina Ngeleja ambae ameshindwa kabisa majukumu yake(at least Korea hawana mgao wa umeme)
Eti Mama Pinda naye anapewa wasaa wa kufungua meli hiyo ya mafuta(sio govt official).
Can you imagine mke wa Sokoine,Cleopa Msuya kufanya jambo hili?
A country now is a big joke