arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Duh Senetor! pole pole kaka,yani unamanisha huna wakudumu au huna mmoja unao wengi ukijisikia tuu unaruka na mmoja? ivi unadhani una utendea haki afya yako? sio kwa sababu ya majimama hapana wewe mwenyewe unajipenda kweli? mbona ni mdogo umri wako kwa mkorogo huo unao ufanya? kumbuka Kama ingekua tamu hiyo usingeikuta,nende nayo aste aste.