Hili hata mimi nililiona mapema, fikiria rangi hizi za bendera zitakavyochanganya watu kwenye karatasi za kupigia kura, ningemshauri Tendwa kama ADC bado wanausajili wa muda wasinge pewa wa kudumu kabla hawajarekebisha rangi kwenye bendera zao.
Mungu akikupa kibali chakukubalika hata mtu akija kwajina lako
hatapata heshima kama yako.kama tumepewa kuiongoza nhi 2015
hakuna atakaye tunyang'anya.ila tusibweteke kwakuwa tunasifiwa.
Watumie kila kitu hata kauli mbiu ya PEOPLES. ........ POWER! NGUVU YA UMMA! Chadema imeshahamia kwenye mioyo ya watu haiko kwenye bendera na alama ya vidole viwili tena!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.